juan de otaru
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 211
- 113
simba walifika link kwenye hatua ya makundi kwani,he waliongoza kundi,mkuu ngarna umewasahau enyimba Mara hiiKuwa wa mwisho katika kundi kwa kushinda mechi 1 ndio kusepa na vijiji?
simba walifika link kwenye hatua ya makundi kwani,he waliongoza kundi,mkuu ngarna umewasahau enyimba Mara hiiKuwa wa mwisho katika kundi kwa kushinda mechi 1 ndio kusepa na vijiji?
halafu wakaenda nusu fainali aisee ngarna punguza Mahaba,Walifika na kushinda mechi 2 nyumbani na kutoka sare mechi 1.Hawakuwa wa mwisho kwenye kundi lao.Ukiwa hujui lini basi umeanza ushabiki wa migongo wazi hivi karibuni.
Mara ya mwisho walishiriki lini na walitolewana nani maana sie wengine washamba humu tujuzeHawakufika nusu fainali lakini waliepuka aibu ya kuwa wa mwisho na kufungwa nyumbani kama mlivyofanya migongo wazi.
Google.Usingoje kila kitu utafuniwe.Mara ya mwisho walishiriki lini na walitolewana nani maana sie wengine washamba humu tujuze
sema tuu Ni libolooooGoogle.Usingoje kila kitu utafuniwe.
Kwani wapale msimbazi wanalipwa na nani mshaharaMmeshachanga pesa za mishahara?Jamaa akiwa hayupo hali inakuwa ngumu. Wameanza kudai kwanini mchezaji bomu kama Chirwa alipwe milioni 10.
Umesikia wakigoma?Kwani wapale msimbazi wanalipwa na nani mshahara
Nime google sijaona naomba uniambie mara ya mwisho kushiriki na walitolewa na nani?Google.Usingoje kila kitu utafuniwe.
Hawagomi mazoezi ila wanafungisha waoNime google sijaona naomba uniambie mara ya mwisho kushiriki na walitolewa na nani?
Wanafungisha wao ndio nini?Nilishakwambia kilugha kinanipa tabu.Hawagomi mazoezi ila wanafungisha wao
atacheza na watengeneza majiko wa tandale.....dr mwaka ndondo cup ratiba yao mbn ilishatoka kitambo mkuuSimba vipi wamepangiwa na timu gani?
WACHEZAJI SIMBA SC WAGOMA KWENDA SONGEA KISA; “KAZI BILA MUSHAHARA” - BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINEWanafungisha wao ndio nini?Nilishakwambia kilugha kinanipa tabu.