The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,374
- 13,320
Rastafari ni dini iliyoanzishwa huko Jamaica miaka ya 1930's ya kutaka kumkomboa muafrica kifikra na kimwili dhidi ya maadui wa muafrica wakuu kipindi hicho yaani ukoloni na utumwa ,vilivyoacha maumivu makubwa ya jamii za waafrica ,zifuatazo ni inkishafi(points) muhimu juu yao.
a)Wanaye mfuata Haile Selassie alikuwa mkristo na alikufa akiwa anaamini katika hilo ,yaani tumaini lake ni kristo,katika mahojiano mwaka 1967 kituo cha CBC host Bill McNeil Selassie said, “I have heard of that idea. I also met certain Rastafarians. I told them clearly that I am a man, that I am mortal and that they should never make a mistake in assuming or pretending that a human being is emanated from a deity.”
Tafsiri isiyo rasmi ''Nimesikia wazo hilo (yakuwa yeye ndo kristo) ,na pia nimekutana na marastafari (akimaanisha yeye sio) nanimewaeleza ukweli kwamba mimi ni mtu wa kawaida ,na wasikosee kudhani natokana na ujumbe toka kwa mungu yeyote(incarnation)
b) Waisrael hawakuwa weusi kama nyerere ,walikuwa wako kama wahindi weusi,hivyo kusema ukweli kuwa yesu hakuwa mzungu hilo halina shaka mzungu alitokeaje middle east ?
Yesu mwenyewe wazungu aliwaona kwa nadra sana.
Wanachosahau Marastafari ni kuwa tukizungumzia pure breed ya africa ni mtu kama mwakyembe au magufuli hawa sio Semites ni pure africans (Africans ina include arabs)
a)Wanaye mfuata Haile Selassie alikuwa mkristo na alikufa akiwa anaamini katika hilo ,yaani tumaini lake ni kristo,katika mahojiano mwaka 1967 kituo cha CBC host Bill McNeil Selassie said, “I have heard of that idea. I also met certain Rastafarians. I told them clearly that I am a man, that I am mortal and that they should never make a mistake in assuming or pretending that a human being is emanated from a deity.”
Tafsiri isiyo rasmi ''Nimesikia wazo hilo (yakuwa yeye ndo kristo) ,na pia nimekutana na marastafari (akimaanisha yeye sio) nanimewaeleza ukweli kwamba mimi ni mtu wa kawaida ,na wasikosee kudhani natokana na ujumbe toka kwa mungu yeyote(incarnation)
b) Waisrael hawakuwa weusi kama nyerere ,walikuwa wako kama wahindi weusi,hivyo kusema ukweli kuwa yesu hakuwa mzungu hilo halina shaka mzungu alitokeaje middle east ?
Yesu mwenyewe wazungu aliwaona kwa nadra sana.
Wanachosahau Marastafari ni kuwa tukizungumzia pure breed ya africa ni mtu kama mwakyembe au magufuli hawa sio Semites ni pure africans (Africans ina include arabs)