KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
Source??picha???utube???
i cant buy it.
i cant buy it.
Rasta mashuhuri hapa nchi Mrisho Mpoto mapema wiki hii amebambwa akiwa nyuma ya kiosk kimoja maeneo ya Posta akiwa anakunywa stone tangawizi huku akiudanganya utumbo kwa Sambusa za NYAMA.
Mashuhuda walioshuhudia tukio hilo wamesema kuwa pamoja na mjomba kusimama ktk imani za Rasta za kutokula nyama lakini yeye mara kadhaa amekutwa akigonga vitoweo mbalimbali vikiweno FIRIGISI, PWEZA na mara kadhaa amekutwa akiwa kakumbatia bakuli la supu ya UTUMBO.
''yule nyie hamumjui, yule ana uchu wa nyama kama nini...kwani ile ndo mara yale ya kwanza?''....
Alisikika Dada mmoja ambaye hakuonyesha kushtushwa na uroho wa Mjomba.
Alitangaza wapi kuwa hali nyama?!. Je umeishaenda huko kuulizia kama hajatengua kauli hiyo? Ama lazima akueleze wewe hapo? Tuwe watu makini vinginevyo TUTAPUUZWA TU.
Big bloody deal!!!!!!Rasta mashuhuri hapa nchi Mrisho Mpoto mapema wiki hii amebambwa akiwa nyuma ya kiosk kimoja maeneo ya Posta akiwa anakunywa stone tangawizi huku akiudanganya utumbo kwa Sambusa za NYAMA.
Mashuhuda walioshuhudia tukio hilo wamesema kuwa pamoja na mjomba kusimama ktk imani za Rasta za kutokula nyama lakini yeye mara kadhaa amekutwa akigonga vitoweo mbalimbali vikiweno FIRIGISI, PWEZA na mara kadhaa amekutwa akiwa kakumbatia bakuli la supu ya UTUMBO.
''yule nyie hamumjui, yule ana uchu wa nyama kama nini...kwani ile ndo mara yale ya kwanza?''....
Alisikika Dada mmoja ambaye hakuonyesha kushtushwa na uroho wa Mjomba.
guys whats wrong with having sambusa and soda?
Kadanganya wapi? au umesikia akighani kwenye mashairi ndo ukachukulia ukweli? Siyo kila afugaye nywele ndefu ni muumini wa rastafary!Hamna udaku. Kwa nini udanganye kuwa huli nyama halafu huko machakani majiani wajipinda?? Shurti watu wawe wanasimamia wanayoyasema pamoja na kwamba haikuwalazimu kujiapiza mbele za wanajamii.
Kadanganya wapi?
au umesikia akighani kwenye mashairi ndo ukachukulia ukweli? Siyo kila afugaye nywele ndefu ni muumini wa rastafary!
Wapi nimesema kadanganya. Lete uthibitisho usio na shaka.
Kama umesikia ni wewe, hivyo jijbu mwenyewe assumptions zako. Hizo habari za kufuga nywele na urasta, it is silly recap. Hakuna asiyejua hilo.
Naomba mkubaliane na mimi kuwa siku hizi Rasta ni urembo kwa maselebrite wengi,including wacheza mpira.na kwa South africa ni just aina ya nywere kama nywere nyingine.so si lazima kila afugaye rasta ni rastafarian
Hiyo nyama mjomba ameiiba au ameinunua? Kama ameilipia taabu iko wapi?