Buenos Aires
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 1,895
- 1,608
Wazanzibari huwa wanaenda kwa ligi yao wenyewe, hii itakuwa ni nafasi ya wabongo tupu.
Gwambina anafaa, au unasemaje kiongozii
Wazanzibari huwa wanaenda kwa ligi yao wenyewe, hii itakuwa ni nafasi ya wabongo tupu.
Kwanini isiwe Biashara United inayoelekea kushika nafasi ya nne kuelekea mwisho wa ligi ya VPL na itacheza nusu fainali ya kombe la shirikisho?Gwambina anafaa, au unasemaje kiongozii
Kwanini isiwe Biashara United inayoelekea kushika nafasi ya nne kuelekea mwisho wa ligi ya VPL na itacheza nusu fainali ya kombe la shirikisho?
ya kudungwa goli4 bila na kaizer??Ni kutokana na mafanikio ya Simba S. C
Nao wana pointi yao 1 so ana mchango wake!Kwa hiyo Yanga wataenda kwa hisani/sababu ya Simba kufanya vizuri?
Nao wamechangia alama moja hivyo kuna jasho lao pia!Wasivyokuwa na haya, wale waliokuwa wanawapokea wageni wakija kucheza na Simba wamekubali mbeleko ya Simba, tena wanashikilia kweli kweli wasianguke!
Mbumbumbu hawawezi kukuelewa!Kwenye hizo points mbona hata sisi Yanga tuna mchango wetu. Hivyo mlitakiwa mzipongeze Simba, Namungo na Yanga.
Timu iliyotakiwa izodolewe ni Azam na Mtibwa ambao waliwahi kushiriki na kutolewa mapema.
Walitutia aibu sana asee!ya kudungwa goli4 bila na kaizer??
Mkuu wamechangia walicho kuwa nacho punguza kuwanangakatika points27.5 ,simba kachangia 24,namungo 2.5 uto 1 kuweni na hekima mnyamaze jameni khaaaaa
Walitutia aibu sana asee!
ya kudungwa goli4 bila na kaizer??