Rasmi sasa Madereva wa malori wa Tanzania wanaishia mpakani, magari yanapulizwa dawa anachukua dereva wa Rwanda. Hatuaminiki tena

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
4,572
26,868
IMG-20200501-WA0014.jpg


HALI ILIVYO RWANDA: Dereva wa Lori kutoka #Tanzania haruhusiwi kuvuka Mpaka wa Rusumo ili kuepuka kuingiza Corona nchini humo.

Badala yake; akifika kituo cha Kiyanzi, mzigo wote utapuliziwa dawa kisha atakabidhi Lori kwa dereva wa Rwanda ambaye atalipeleka hadi kituo cha mwisho. Serengeti Post on Twitter
 
Tumia punje ya akili yako, hii ni biashara ya ushindani kila Mtu au nchi inataka kulinda ajira za watu wake,Lakini kama unaendekeza akili za umbea, mawazo yako yatakuwa hayo yakutoaminika
 
Hawa wapuuzi wamechinjana sana.. sisi tumewatunza kama wakimbizi miaka mingi..

Ila wao corona kidogo tu wanatubagua.. na hapo hapo utakuta hawawazuii wachina kuingia rwanda au waitaliano
Tuliza mpira kijana.

Jukumu la serikali ni kulinda raia wake.

Nyie mmeshindwa, muwaache wao wafanye.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nipo Rwanda Rusumo boarder naomba nikujibu hivi;

1. Rwanda hawana figisu za kuchakachua mizigo na kupiga minyoka ya mafuta kama bongo. Very disciplined!

2. Gari likiharibika wanawasiliana na mmiliki atapendekeza gerage gani ipelekwe na atalipia kama ambavyo dereva wenu angelipia.

3. Itachukuwa muda ule ule ambayo ingemchukuwa dereva wa Tanzania. 2 to 3 days. Consignments za Rwanda zinakuwa cleared online kabla mzigo haujafika, hakuna urasimu wa kitoto.

Overall; mna uhuru pia kuacha kuleta mizigo, au kufunga mipaka.
Haya ni maamuzi ya HE. PK, HE M7 and HE UK.
Hapo napata mashaka je mzigo ujipote au gari kuharibika nani atakuwa responsible ku cover hizo garama.
Pili itachukuwa mda gani gari ya huyo davo kurejea boda aliko achwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo napata mashaka je mzigo ujipote au gari kuharibika nani atakuwa responsible ku cover hizo garama.
Pili itachukuwa mda gani gari ya huyo davo kurejea boda aliko achwa
😃😃😃 basi waanzishe dry port hapo , ukifika mzigo hapo tunashusha unakuwa jukumu Leo, nao wakileta huku, wakifika hapo ni jukumu letu
 
Back
Top Bottom