Rasmi:Okwi ni mali ya Simba SC

the muter

JF-Expert Member
Oct 31, 2012
1,296
1,711
Simba wanafanya kimya kimya ili waje kutangaza surprise ila kaingia Jana usiku
0867f4c74d252a7977437683db28436b.jpg


Muda mfupi uliopita Okwi amesaini kandarasi ya kuitumikia Simba kwa miaka miwili.Hongera Simba SC.

c9348f432bbadbafa36d53cb6143754f.jpg
 
Huyo hata kiwango kikishuka, ilimradi tu awepo uwanjani.....maana kuna timu fulani wanapenda sana kutembeza bakuli wakisikia hilo jina wanaanza kutetemeka!
 
Emmanuel Arnold Okwi is a Ugandan professional football player who plays as a striker for the Uganda national football team. He played football as a boy while at St. Henry's College Kitovu. wikipedia.org

  • Born: December 25, 1992 (age 24), Kampala
  • Nationality: Ugandan
  • Height: 5'9" (1.76m)
Afrika bado tuna kazi kubwa katika udanganyifu. Okwi ameanza kucheza ligi kuu kwa 2009 na kaja Simba 2010 akionekana kijeba kabisa. Ina maana alianza kucheza ligi kuu akiwa na miaka 17?
 
Afrika bado tuna kazi kubwa katika udanganyifu. Okwi ameanza kucheza ligi kuu kwa 2009 na kaja Simba 2010 akionekana kijeba kabisa. Ina maana alianza kucheza ligi kuu akiwa na miaka 17?
Ingawa mimi ni mwanachama wa Simba lakini siafiki kabisa usajili wa Okwi. Ana kipi kipya? Ameshachoka na kitabia ana usumbufu sana. Kwa ujumla huu ni mzigo tunaotaka kujitwisha
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom