Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 66,989
- 173,597
Huo uamuzi wa hasira tu! Kapumzika tu huyo! Akirudi akala mikeka miwili atarudi rasmi!Hongera uamuzi mzuri sana.
Tatizo wasichokijua watu betting ina upepo! Ukiona siku umebeti mara 3 mfululizo unamla bookmarker tu jua siku hio una upepo! Jiwashe mpaka ambapo utaona game zinaanza kukukataa.Zikichana 2 mfululizo tulia jua upepo umebadilika!
Sasa utakuta pale mtu ndio anaingia mawenge anataka arudishe hasara matokeo yake anafumuliwa marinda! Mi nishaliwa na game moja hela yote nilikuwa nazuia corner kila nikizuia inachana kwa kuongezeka corner moja mara ya tatu mchezo uko mwishoni nikasema narudisha hasara weee 😂😂😂😂😂😂 account ilifuka moshi!