GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,278
- 6,635
Nilikuwa mshabiki wa Yanga, Ingawa kipigo cha jana ni moja ya sababu lakini siku nyingi nimechoshwa na soka letu ambalo lina siasa siasa ndani yake..... Kwaheri yanga, Kwaheri Taifa stars.... Rasmi Kesho nitachoma moto jezi za stars.... za Yanga Sina. Pumbavu sana....