M Milak Member Apr 22, 2020 56 17 Apr 22, 2020 #1 Habarini wakuu, Nina imani kila mmoja anafata taratibu zilizowekwa na wizara ya afya ili kujikinga na gonjwa LA corona. Leo nimeona ni vizuri kufungua account baada ya kuitumia(jf)bila ya kutumia account yeyote hivyo naomba mnipokee NI MIMI mìlâk
Habarini wakuu, Nina imani kila mmoja anafata taratibu zilizowekwa na wizara ya afya ili kujikinga na gonjwa LA corona. Leo nimeona ni vizuri kufungua account baada ya kuitumia(jf)bila ya kutumia account yeyote hivyo naomba mnipokee NI MIMI mìlâk
M Milak Member Apr 22, 2020 56 17 Apr 22, 2020 Thread starter #4 kimbendengu said: @ Milak karibu sana Click to expand... shukrani kiongozi
M Milak Member Apr 22, 2020 56 17 Apr 22, 2020 Thread starter #5 yna2 said: Karibu Sana Click to expand... pamoja sana
U Ulimakafu JF-Expert Member Mar 18, 2011 29,043 10,686 Apr 24, 2020 #6 Karibu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT upate kufaidi.