Rasmi: Kima cha chini cha mshahara kwa watumishi wa umma 2011

wewe ni kada wa magamba, ama kijana wa nape kazini?

Hakuna cha ukada katika hili, ni ukweli usiopingika. Kama mshahara haukutoshi, acha kazi tafuta mbinu mbadala. Ndio njia pekee ya kushinikiza Serikali ilipe zaidi. Hivi kama unaendelea kufanya kazi kwa mshahara mdogo ambao haukotoshi kula wiki moja unategemea nini? kama si mwizi basi mganga wa kenyeji hapo kazini.
 
Wafanyakazi hawatafuti utajiri, hapa wanatafuta KCC inayokidhi "living wage" na kwakuwa magamba wengi wanawaza utajiri pasipokufanya kazi, si ajabu serikali yake kuwajaza mapesa watumishi wa kada za juu tena hawalipi kodi wakati watumishi wengi wa kundi la KCC wakisahaulika.

Mnafanya ufisadi na kuiba sana ili mtajirike badala ya kuwatumikia watanzania.

"Living wage" ni ile inayokuwezesha ukiwa kazini kuishi mpaka utapopata kipato kijacho. Sasa kama haikutoshi hicho kipato cha ziada kinatoka wapi? tuwe wa kweli.

Watanzania wengi wana vipato vya ajabu ajabu, huo ndio ukweli usiopingika. Siku kipato cha mtu hakimtoshi kula mpaka atakapopata kipato kingine hakai kazini hata kidogo.
 
Utajiri hauji bila ya kuufanyia kazi, wajitahidi kusoma waondoke kwenye kima chini au waingie kwenye ujasiriamali.
Kwa hiyo wabunge wetu wamesoma sana au wanafanya kazi gani ya ajabu ?
mbona wanalipwa 150,000 per day kama posho ? au kupitisha miktaba mibovu na ya ufisadi , na kupiga kuropoka NDIYO ?
ebu toa fikra mgando zako hapo. Ktk nchi yeyote lazima wawapo wa kima cha chini na lazima waheshimiwe coz rasilimali ya taifa ni ya wananchi wote.
 
Kwa hiyo wabunge wetu wamesoma sana au wanafanya kazi gani ya ajabu ?
mbona wanalipwa 150,000 per day kama posho ? au kupitisha miktaba mibovu na ya ufisadi , na kupiga kuropoka NDIYO ?
ebu toa fikra mgando zako hapo. Ktk nchi yeyote lazima wawapo wa kima cha chini na lazima waheshimiwe coz rasilimali ya taifa ni ya wananchi wote.

Simpo, ya ama na wao wakagombee Ubunge ya ama wasichague wabunge. Umeona umeleta chaa maana na fikra zako myeyusho?
 
Utajiri hauji bila ya kuufanyia kazi, wajitahidi kusoma waondoke kwenye kima chini au waingie kwenye ujasiriamali.
Kwa hiyo wabunge wetu wamesoma sana au wanafanya kazi gani ya ajabu ?
mbona wanalipwa 150,000 per day kama posho ? au kupitisha miktaba mibovu na ya ufisadi , na kupiga kuropoka NDIYO ?
ebu toa fikra mgando zako hapo. Ktk nchi yeyote lazima wawapo wa kima cha chini na lazima waheshimiwe coz rasilimali ya taifa ni ya wananchi wote.
 
Simpo, ya ama na wao wakagombee Ubunge ya ama wasichague wabunge. Umeona umeleta chaa maana na fikra zako myeyusho?
mawazo ya kipepari hayo , eti ukimwakilisha mtu ndo umnyonye , kweli ukinywa rangi ya kijana unakuwa na matatizo ya akila
 
Utajiri hauji bila ya kuufanyia kazi, wajitahidi kusoma waondoke kwenye kima chini au waingie kwenye ujasiriamali.
Kwa hiyo wabunge wetu wamesoma sana au wanafanya kazi gani ya ajabu ?
mbona wanalipwa 150,000 per day kama posho ? au kupitisha miktaba mibovu na ya ufisadi , na kupiga kuropoka NDIYO ?
ebu toa fikra mgando zako hapo. Ktk nchi yeyote lazima wawapo wa kima cha chini na lazima waheshimiwe coz rasilimali ya taifa ni ya wananchi wote.
 
Haki wanayo, hilo halina ubishi, ili nchi iweze kulipa kila mtu vizuri, inabidi kila mtu afanye kazi kwa bidii, ama ya kuajiriwa ama ya kujiajiri na kodi zilipwe na kiwango kikubwa cha wananchi, leo Tanzania walipa kodi ni kidogo sana ukilinganisha na mataifa yanayolipa vizuri. Hivi mnategemea hiyo mishahara ya Serikalini itoke wapi? wakati tunajua kabisa kuwa kipato cha Serikali ni kodi.
Uh ! ndo maana serikali inawapa misamaha ya kodi makumpuni makubwa , kumbe haitaki kodi zao , ila inataka za yule ambaye amefungua kaduka kadogo tu?
 
Utajiri hauji bila ya kuufanyia kazi, wajitahidi kusoma waondoke kwenye kima chini au waingie kwenye ujasiriamali.
Kwa hiyo wabunge wetu wamesoma sana au wanafanya kazi gani ya ajabu ?
mbona wanalipwa 150,000 per day kama posho ? au kupitisha miktaba mibovu na ya ufisadi , na kupiga kuropoka NDIYO ?
ebu toa fikra mgando zako hapo. Ktk nchi yeyote lazima wawapo wa kima cha chini na lazima waheshimiwe coz rasilimali ya taifa ni ya wananchi wote.
 
Hii sasa ni rasmi kima cha chini cha mshahara kwa watumishi wa umma Tanzania kwa mwaka 2011, kimepanda kutoka shilingi za Kitanzania 135,000/= mpaka 150,000/=. Hii ni kwa mujibu mishahara iliyolipwa Julai 2011.

Nawasilisha.

rasmi? umeshawasiliana na Mwanahawa?
 
We kweli bumunda!, kwa kianzio hicho utafanya ujasiriamali gani?, utalipa ada ya shule?, nakuambia hata 30000 za fomu TCU huziwezi! Tutake radhi

Huyu dada anamajibu ya kupotosha sana! Halafu anaonekana ni mbinafsi sana na mwenye uchu
 
Simpo, ya ama na wao wakagombee Ubunge ya ama wasichague wabunge. Umeona umeleta chaa maana na fikra zako myeyusho?

Du kweli wewe hatari yahani kama umeolewa basi si mke mwema unaweza kuua watoto, nyie ndo mnaowanyanyasa mahouse geli watoto wa watu, roho mbaya hata avatar inaonyesha
 
Dada acha roho mbaya bwana, inamaana wasiosoma hawana haki? Wangesoma wote kwa kiwango cha juu nani angekubali kuwa messanger? nani angekuwa mhudumu? unapoongea vitu uwe unafikiria nafananisha maneno yako sawa na mtakula nyasi lkn ndege ya rahisi lazima tununue. Acha ubinafsi wewe nyie ndo mnakuwa mayes bosi na usomi wako.
m
mke wa mkubwa huyo
 
<font color="#800080"><font size="4"><i><b>hadi siku mtakapo pata akili, ya kuacha kuchagua hawa wababaishaji ndipo mabadiliko mtakapoyaona</b></i></font></font>
<br />
<br />
Umenikumbusha ile post yako ya nyuma, hii serikali ya majuha
 
Utajiri hauji bila ya kuufanyia kazi, wajitahidi kusoma waondoke kwenye kima chini au waingie kwenye ujasiriamali.
<br />
<br />
Hivi una akili timamo wewe?
Kila mtu akiwa kima cha juu, nani atafanya kazi za kima chini? Kila mtu ana umuhimu wake ofisini. Siku nyingine tumia kicha kufikiria, usitumie makalio.
 
Dada acha roho mbaya bwana, inamaana wasiosoma hawana haki? Wangesoma wote kwa kiwango cha juu nani angekubali kuwa messanger? nani angekuwa mhudumu? unapoongea vitu uwe unafikiria nafananisha maneno yako sawa na mtakula nyasi lkn ndege ya rahisi lazima tununue. Acha ubinafsi wewe nyie ndo mnakuwa mayes bosi na usomi wako.

Si roho mbaya, ni ukweli usiopingika. Hizo kazi ulizotaja watafanya wasomi wenye elimu zao na watazifanya kwa ufanisi zaidi kiasi walipwe vizuri zaidi, mfano wa kwanza, hiyo kazi ya u messenger, kuna nchi nyingi kwa sasa hawaajiri kabisa ma messenger, kuna mail delivery services ambazo wajasiriamali huanzisha, mtu ana pikipiki yake badala ya kuifanya bodaboda, anaingia mikataba na maofisi na makampuni kuwasambazia karatasi na barua zao mji mzima. Na ike ya huduma, tumeona nchi nyingi sana hizo ni kazi za wasomi watarajiwa, mchana anasoma jioni anakwenda kuhudumia, life goes on.

Hivi tunavyojidai kuwa na huruma ndio tunaharibu hatutengenezi.
 
<br />
<br />
Hivi una akili timamo wewe?
Kila mtu akiwa kima cha juu, nani atafanya kazi za kima chini? Kila mtu ana umuhimu wake ofisini. Siku nyingine tumia kicha kufikiria, usitumie makalio.

Tembea duniani uone. Ni matatizo ya kutokuwa na exposure yanawasumbua. Somesha watu ili nchi iendelee, hao wanakaa wanang'ang'ania mshahara wakima chini na hauwatoshi hata wiki moja kula kwanini? wanamaslahi hapo, kama hawana wangeacha zamani sana.

Hivi wewe, unataka hao watu wasiende kusoma ili siku nzote wabaki kuwa wa kima cha chini tu? wakisoma automatically kima cha chini kitapanda. Fikiri japo kidogo. Unanshangaza.
 
Back
Top Bottom