Rasmi: Kardinali Pengo ang'atuka, Askofu mkuu Ruwa'ichi ashika usukani Jimbo Kuu la Dar es Salaam

1.Moja ni uzushi kusema alifia kwa mwanamke japo simkingii kifua baba na mlezi wangu huyu aliyetangulia mbele ya haki kuwa alikuwa anapenda sana alikotoka. Ukweli ni kwamba alikunywa sumu na kama ungekuwa umepata nafai ya kuishi naye na kumsikiliza jinsi alivyokuwa mfuasi kamili wa falsafa za Socrates ungefahamu kuwa kwake kujiua ni aina ya kifo alichokwisha kukichagua.
2.Labda uwe hujawahi kuishi na mapadri,, lakini kama umewahi kuishi nao utakubaliana na mimi kuwa ni wachache sana hawana doa la dhambin ya uzinzi japo siungi mkono pia,, hoja yan kumuacha azikwe na katekista haina mjadala maana ndo utaratibu wa kanisa lakini alipaswa kufahamu kuwa yule ni binadamu na yeye hakupaswa kumhukumu kwani wapo mapadri wengi tu vituko ila Mungu anawatumia bado na ni lazima tuwaheshimu maana Mungu ana makusudi nao. Kama alivyo fanya Mfalme Daud kwa kutothubutu kumuua Sauli ila Askof Rwaichi alilihandle hili suala like a mere person na ndio maana mapadri wenzake walishindwa kujuzuia walienda msibani japo walisimama umbali wa mita kadhaa kutoka mahala alipokuwa anazikwa Fr. Matonya.
Umesema vema na siyo mapadri tu dhambi ya uzinzi inatafuna wengi. Kwa maana nyingine ni kuwa kutozini ni amri ya Mungu. Hivyo tusiwanyoshee mapadri vidole tukasahu madhambi yetu wenyewe. Kila mkristo amezuiwa kushiriki ngono. Kila anayeshiriki anafanya dhambi na kama ulivyosema askofu Yuda na yeye anajua vema kuwa mapadri wengi wanazini mbona hawafungii na siyo kwamba nahukumu lakini uenda hata yeye alishawahi kupiga hata mara chache maishani mwake. Hivyo hukumu aliyotoa kwa huyo matonya ni ya kibabe na ya kibaguzi haikubaliki hata kidogo.
 
Usilet umbumbumbu kama wa Paschal Mayala,
Hebu malizia vizuri kwa nini askofu Jude Thadaeus Ruwa'ichi alipokuwa Dodoma alizuia mapadre wasimzike padri mwenzao yaani padri Matonya.

Je, huyo padri matonya alikufa kifo gani hadi askofu zuie kuzikwa?

Padri Matonya alifanya ufuska na mke wa mtu, tene ufuska wa kwenda kulala na kula uroda na mke wa mtu kwa siku kama nne hivi na hajulikani yuko wapi.

Ghafla siku ya nne usiku inawezekana nguvu za kiume zikamuishia akafariki hapohapo kitandani. Mwanamke akapanik lakini akawa hana ujanja.

Askofu Jude Thadaeus Ruwa'Ichi akapata taarifa kwamba padri Matonya amefia kwenye kitanda cha kimada wake! Hivyo akapiga marufuku mapadri wote Dodoma wasijitokeze kwenda kumzika.

Hivyo, badala ya kumpongeza askofu Ruwa'ichi kwa ushujaa na msimamo wake huu wewe unaleta umbumbumbu wa kusimulia nusunusu.

Kumbuka tupo ambao masuala ya kanisa kwetu sisi ndiyo maisha, kila siku lazima tujue kila kona nchini majimbo yote kunaokea nini.

Na hiki ndicho kilichofanya mapadri wote Tanzania wanamuogopa askofu Ruwaichi, wanajua moto wake. Kwa taarifa yako mapadri wa D'Salaam walishaanza kupiga ndogondogo ili asirithi jimbo la Dar na hata Pengo alijaribu kufanya hivyo ili ikibidi Ruwaichi apelekwe Moshi.

Imeshindikana na sasa Ruwaichi ni askofu wao, mkapuchini yuko madarakani, sasa walie tu, ama waache upadri.

cc:
Pascal Mayalla
Wew ni padre wa Jimbo gan
 
Kifo kama alijiua au alikosa nguvu za kiume cha muhimu ni kwamba alifia kwa kimada wake na baada ya kutoonekana jimboni.


Tena umenikumbusha maana hata kama angepona basi angefukuzwa upadri. Hili si ombi la askofu Jude Thadaeus RuwaIchi bali ni sheria ya kanisa yaani Canon 1041(5) inayosema hivi'

"one who has gravely and maliciously mutilated himself or another, or who has attempted suicide".

Pia umekuwa mbumbumbu kwa sababu umepuuza mafundisho ya Kanisa Katoliki yanayosema suicide yaani kujiua ni dhambi kubwa, ninainukuu ibara ya 2280 hadi 2283 ya Katekism ya Kanisa Katoliki inayosema hivi,

2280 Everyone is responsible for his life before God who has given it to him. It is God who remains the sovereign Master of life. We are obliged to accept life gratefully and preserve it for his honor and the salvation of our souls. We are stewards, not owners, of the life God has entrusted to us. It is not ours to dispose of.

2281 Suicide contradicts the natural inclination of the human being to preserve and perpetuate his life. It is gravely contrary to the just love of self. It likewise offends love of neighbor because it unjustly breaks the ties of solidarity with family, nation, and other human societies to which we continue to have obligations. Suicide is contrary to love for the living God.

2282 If suicide is committed with the intention of setting an example, especially to the young, it also takes on the gravity of scandal. Voluntary co-operation in suicide is contrary to the moral law.
Grave psychological disturbances, anguish, or grave fear of hardship, suffering, or torture can diminish the responsibility of the one committing suicide.


2283 We should not despair of the eternal salvation of persons who have taken their own lives. By ways known to him alone, God can provide the opportunity for salutary repentance. The Church prays for persons who have taken their own lives.

cc:
Pascal Mayalla

1.Moja ni uzushi kusema alifia kwa mwanamke japo simkingii kifua baba na mlezi wangu huyu aliyetangulia mbele ya haki kuwa alikuwa anapenda sana alikotoka. Ukweli ni kwamba alikunywa sumu na kama ungekuwa umepata nafai ya kuishi naye na kumsikiliza jinsi alivyokuwa mfuasi kamili wa falsafa za Socrates ungefahamu kuwa kwake kujiua ni aina ya kifo alichokwisha kukichagua.
2.Labda uwe hujawahi kuishi na mapadri,, lakini kama umewahi kuishi nao utakubaliana na mimi kuwa ni wachache sana hawana doa la dhambin ya uzinzi japo siungi mkono pia,, hoja yan kumuacha azikwe na katekista haina mjadala maana ndo utaratibu wa kanisa lakini alipaswa kufahamu kuwa yule ni binadamu na yeye hakupaswa kumhukumu kwani wapo mapadri wengi tu vituko ila Mungu anawatumia bado na ni lazima tuwaheshimu maana Mungu ana makusudi nao. Kama alivyo fanya Mfalme Daud kwa kutothubutu kumuua Sauli ila Askof Rwaichi alilihandle hili suala like a mere person na ndio maana mapadri wenzake walishindwa kujuzuia walienda msibani japo walisimama umbali wa mita kadhaa kutoka mahala alipokuwa anazikwa Fr. Matonya.
 
Mkuu,
Umeeleza mengi mno na karibu yote ni sahihi. Kama ni Bikira Maria kwenye misa tunamtaja sana tu kwenye Eucharist prayer na huwa padri anasema "Bikira Maria Mama wa Mungu".

Kimsingi wanamaombi ni wahuni wa vurugu ambao hawastahili hata mjadala.

Usiwe na hasira. Hayo ya mwaka sitini tuyahache, sikuwepo na hivyo hata sikujua kama nitakuja kuzaliwa na kuwa mkatoliki, japo naheshimu sana historia, labda tu yanifanye kukupa heshima yako ya shikamoo!!!

Kama miaka hiyo mlikuwa mnasali Rozari wakati wa misa, basi mlikuwa mnakosea. Hii siyo kwamba mimi sitambui umuhimu wa Rozari, no mimi ni muumini mkubwa sana wa Rozari, niliwahi hata kuwa mwana Legion of Mary. Lakini naisali Rozari mahali pake, siyo wakati wa misa takatifu. Utaratibu wa misa ya kiroma (order of mass) unaelekeza mambo ya msingi ya kufanya wakati wa misa takatifu na hakuna uliposema Rosari isaliwe. Kumbuka kama kweli unasali Rosari kwa utulivu unaotakiwa huku ukifanya meditations Rosari ni sala ndefu kidogo.

Kwa ujumla mambo makuu/muhimu kufanya wakati wa misa takatifu kwa kiasi fulani ni kama alivyo fafanua kwa ufupi Paschal kwenye post number 387. Yaani misa ina sehemu kuu kama nne hivi:
1. Ibada ya kuingia/kuanzia
2. Liturgy ya neno
3. Liturgy ya Ekaristi takatifu
4. Ibada ya mwisho/kumalizia misa

Katika vipengele hivi vya misa takatifu zipo sala mbali mbali zimeelekezwa kama vile sala ya Ekarisiti, sala ya bwana, n.k lakini hakuna pahala ilipoelekezwa isaliwe Rosari.

Hivyo unaona kabisa ya kuwa wanamaombi wako unao watetea wakija na taratibu zao za kutaka kusali Rosari wakati wa Misa takatifu watakuwa wanafanya fujo maana sala ya Rosari haipo kwenye ratiba.

Hilo la askofu Ruwaichi kukaa na wanamaombi sioni kama lina tatizo. Akitaka akae tu nao waongee na awasisitizie ya kwamba hatutaki fujo zao. Kama wanataka kusali hawazuiliwi lakini wafuate taratibu zote za kanisa katoliki na zile ndogo zilizopitishwa na jimbo kuu la dar. Kama hawataki waende huko kwa nkwera wasitubabaishe. Dini ziko nyingi, kama hawataki kufuata taratibu, waende.
 
Mgeni katika masuala haya ni wewe na akina Paschal Mayala, sisi wengine Jude Thadaeus Ruwa'Ichi tunamjua tangu akiwa padri.
Kwa kukusaidia tuu, nimeajiriwa RTD kama Mtangazaji Msaidizi mwaka 1990, kwa kawaida Mtangazaji Msaidizi haruhusiwi kufanya OB chini ya miaka 2 ya utangazaji, lakini mimi ndani ya mwaka mmoja tuu, Dec 25, mwaka 1991, matangazo ya moja kwa moja ya Ibada ya X Mass, yaliendeshwa kutoka katika kanisa Kuu la Moshi Mjini, yakiendeshwa na Jude Thadaeus Ruwa'Ichi wakati huo nadhani alikuwa Paroko tuu wa Parokia hiyo. Watangazaji wakiwa Jacob Tesha na Nelly Kidella, Tarehe 24, Tesha akapata msiba, Kidella akaugua ghafla mimi nilifuatwa kijijini Kirua Vunjo katika hija za Wachagga, nikiwa Mtangazaji msaidizi less than two years, nilipiga live ya mkesha na kesho yake ibada ya Xmas pekee yangu na kuwashangaza viongozi wangu kwa uwezo wa kutunza flow live, ukizingatia nilianzia Utoto Mtakatifu, nilikuwa mtumishi, mwana YCS, Mwana Leggio Maria, Mwana Moyo Mtakatifu, primari nilipewa jina la Padri Paskali kama kwenye vitabu vya Bulicheka, ingekuwa sio mambo ya ile nadhiri, saa hizi ningekuwa Padri Paskali, hiyo Jude Thadaeus Ruwa'Ichi nimetoka nae mbali!.
P.
 
Huo uchaga wa askofu Jude Thadaesu Ruwa"ichi kaufanyia wapi? Porojo zenu za kijinga mnadanganya mambumbumbu kama Paschal Mayala.

Wapumbavu na mambumbumbu ndiyo utawapumbaza kwa kusema uchanga wakati huko kote alikopita umeshindwa kuonyesha chembechembe za uchaga.
Pambafu.
I studying you, kiukweli kanisa Katoliki nalikubali sana, wana uwezo mkubwa wa ung'amuzi wa vichaa wa future, hivyo wanatimua seminarini kuepuka kupata mapadri vichaa!.

Baada ya kugundua nachukizwa sana kuitwa mbumbumbu naona sasa umekuwa na obsession ya seizing every opportunity you get to mention me as mbumbumbu, kwa sababu nimekuambia ukweli kuhusu deep neurosis yako, hivyo retaliation yako ni kuniita mbumbumbu as many times as you can, that is being sadist, ni symptoms tuu za higher stages of neurosis andelea and soon uta graduate. Kiukweli vilaza wa kukariri wanashida sana but keep it up if makes you feel good.
P
 
Wewe ndiye uliyeanza na neno kilaza kwa hoja finyu, na ni kweli neno mbumbumbu ninalipenda kwa yeyote mbishi unnecessarily.

By the way, sijawahi kupitia seminary kama umbumbumbu unavyokutuma kudhani.

I studying you, kiukweli kanisa Katoliki nalikubali sana, wana uwezo mkubwa wa ung'amuzi wa vichaa wa future, hivyo wanatimua seminarini kuepuka kupata mapadri vichaa!.

Baada ya kugundua nachukizwa sana kuitwa mbumbumbu naona sasa umekuwa na obsession ya seizing every opportunity you get to mention me as mbumbumbu, kwa sababu nimekuambia ukweli kuhusu deep neurosis yako, hivyo retaliation yako ni kuniita mbumbumbu as many times as you can, that is being sadist, ni symptoms tuu za higher stages of neurosis andelea and soon uta graduate. Kiukweli vilaza wa kukariri wanashida sana but keep it up if makes you feel good.
P
 
acha niseme tu ni jinsi gani am proud to be Catholic
sijasikia mtu akilalamika sijui dini gani inatukandamiza,
serikali inatuonea,
kina fulani wanapewa kipaumbele,
hao viongozi sisi hatuwatambui ni vibaraka,
tutalipiza kisasi,
tunaonewa
yani we are perfect kila idara (Mungu ashukuriwe kwa hilo) NDIO tuna matatizo yetu tumeyakubali na hatumlaumu mtu tumayatatua.
NDIO tuna viongozi wetu wananakose lakini tunawaombea tuko pamoja nao na watajirekebisha
UTII UTII UTII
dini nyingine Kuna mengi ya kunifunza
kibarikiwi Kiti Cha Baba Mtakatifu na anayekikalia amekuwa mwamba imara Kama Kristu alivyotaka awe tunakuombea.
Arch Bishop Gervas Mwaisonga+ (Rais TEC)
Arch Bishop Renatus Nkwande+ (VP TEC)
Fr kitima (secretary TEC)
Arch Bishop Isack Amani+ (Askofu Mkuu Jimbo Kuu Katoliki la Arusha) Askofu wangu Arusha
Fr Malisa (paroko wangu Mt Theresia wa Mtoto Yesu) cathedral na msaidizi wake Fr Festus
Tumsifuni Yesu Kristu Milele na Milele Amina
 
Pengo alianza vizuri ila kamalizia vibaya.
Wanadamu siyo wakamilifu na hivyo kufanya Mwanadamu kuwa muongo ila Mungu ndio kweli.
.
Waebrania 13
7 Wakumbukeni wale waliokuwa wakiwaongoza, waliowaambia neno la Mungu; tena, kwa kuuchunguza sana mwisho wa mwenendo wao, iigeni imani yao.

-Mwisho wa mwenendo wa Pengo hauna cha kuigwa kuhusiana na suala la imani.



Karibu katika ofisi hii ya utumishi baba Ruwaichi.
Tumsifu Yesu Kristo...sisi Wakristo tumeagizwa na Bwana wetu Yesu Kristo Kusamehe saba mara sabini...nakusihi tumsamehe mhagama kwa mapungufu yake ---na tumuombee apumzike kwa amani...Tumsifu Yesu Kristo..
 
Wewe ndiye uliyeanza na neno kilaza kwa hoja finyu, na ni kweli neno mbumbumbu ninalipenda kwa yeyote mbishi unnecessarily.

By the way, sijawahi kupitia seminary kama umbumbumbu unavyokutuma kudhani.
I thought ulitamani kuwa padiri ukafukuzwa seminari. Inawezekana unazijua sana sheria za kanisa lakini take it from me, once kilaza, always kilaza.
Pia nimejikubali mimi ni mbumbumbu.
P
 
I thought ulitamani kuwa padiri ukafukuzwa seminari. Inawezekana unazijua sana sheria za kanisa lakini take it from me, once kilaza, always kilaza.
Pia nimejikubali mimi ni mbumbumbu.
P
By the way what do the two words kilaza and mbumbumbu mean? Are they different? Are they found in Kiswahili dictionary? No strings attached just curious to learn about them.
 
By the way what do the two words kilaza and mbumbumbu mean? Are they different? Are they found in Kiswahili dictionary? No strings attached just curious to learn about them.
Kilaza ni mtu mwenye low IQ, anasoma kwa bidii lakini mwisho wa siku anazungusha. Kilaza is an empty shell, there is nothing inside.
Mbumbumbu ni mtu asiyejua kitu, mweupe, yuko gizani.

Tofauti yao ni Kilaza ni uwezo wake, hafundishiki. Mbumbumbu akionyeshwa mwanga anaona.

Mimi nimejikubali ni mbumbumbu wa sheria za kanisa ila huyu kilaza wa kukariri sheria za kanisa anautumia umbumbumbu wangu kama fimbo ya kunichapia kila anapopata fursa na anatandika kweli hadi nimegundua tuna ma sadist humu ili tulikuwa hatuwajui.

Kikawaida binadamu akiishatangulia mbele ya haki anazungumzwa kwa wema, huyu kilaza wangu anamzungumza huyo Padri marehemu kwa ubaya in a sadistic way!. That is sadism!.
P
 
acha niseme tu ni jinsi gani am proud to be Catholic
sijasikia mtu akilalamika sijui dini gani inatukandamiza,
serikali inatuonea,
kina fulani wanapewa kipaumbele,
hao viongozi sisi hatuwatambui ni vibaraka,
tutalipiza kisasi,
tunaonewa
yani we are perfect kila idara (Mungu ashukuriwe kwa hilo) NDIO tuna matatizo yetu tumeyakubali na hatumlaumu mtu tumayatatua.
NDIO tuna viongozi wetu wananakose lakini tunawaombea tuko pamoja nao na watajirekebisha
UTII UTII UTII
dini nyingine Kuna mengi ya kunifunza
kibarikiwi Kiti Cha Baba Mtakatifu na anayekikalia amekuwa mwamba imara Kama Kristu alivyotaka awe tunakuombea.
Arch Bishop Gervas Mwaisonga+ (Rais TEC)
Arch Bishop Renatus Nkwande+ (VP TEC)
Fr kitima (secretary TEC)
Arch Bishop Isack Amani+ (Askofu Mkuu Jimbo Kuu Katoliki la Arusha) Askofu wangu Arusha
Fr Malisa (paroko wangu Mt Theresia wa Mtoto Yesu) cathedral na msaidizi wake Fr Festus
Tumsifuni Yesu Kristu Milele na Milele Amina
Sisi ni wastaarabu sana, tumeshaanza kuliombea jina la Yuda Tadhei wakati wa mageuzi kabla ya kula mwili.
 
Back
Top Bottom