Baada ya kupigia kelele rasimu ya kwanza Serikali iliondoa mswada na kwenda kuufanyia marekebisho mbalimbali. Je kilio cha Watanzania kimesikika na hoja tulizozitoa wakati ule zimezingatiwa? Binafsi sijapata muda wa kusoma - ndio nimepata tu mswada huu - lakini natumaini wengijne watapitia na kutoa maoni yao kama ni mswada unaofaa kusimamia uandishi wa Katiba yetu mpya kabla ya uchaguzi mkuu wa 2015. Jipatie nakala yako.
Mswada uliokataliwa Aprili 2011: BONYEZA HAPA
Mswada Mpya wa Oktoba 2011: BONYEZA HAPA
Wakuu mimi kwanza naanza na Title="Constitutional Review Act". Are we reviewing or are we making a new constitution? Sijui ya kiswahili inasemaje maana sijaiona.