Fugwe
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 1,676
- 656
Kufuatia kukamilika kwa Rasimu ya kwanza ya Katiba ya Muungano wa Tanzania, mambo kadhaa yanaendelea kujitokeza ambayo yanahitaji kutolewa ufafanuzi. Moja ambalo mimi naliona ni kwamba kama tutaunda Taifa la Tanganyika na hakuna ubishi lipo njiani linakuja je, IKULU yake itakuwa wapi?? Serikali ya Muungano IKULU yake itakuwa wapi?????
Historia inatuonyesha kuwa pale MAGOGONI ni IKULU ya iliyokuwa Serikali ya Tanganyika. Sasa inarejea kwa kishindo na kukuta kuna Kiongozi wa Serikali ya Jamuhuri ya Muungano, je, Rais wa Serikali ya muungano atampisha mwenye nyumba yaani Tanganyika?? au mwenye nyumba aende Chamwino???
Scenario nyingine, Kama EL atagombea urais na kushinda kwa upande wa Tanganyika na Samweli Sitta akagombea ule wa muungano na akashinda, je EL atamwachia Sitta IKULU ya Magogoni yeye aende Tegeta?? Tunahitaji kuelezwa IKULU itakuwa ya nani, Tanganyika au Muungano? Lakini vilevile Tanganyika iko tayari kupokwa IKULU yake ya kihistoria??? Haya wanaJF
Historia inatuonyesha kuwa pale MAGOGONI ni IKULU ya iliyokuwa Serikali ya Tanganyika. Sasa inarejea kwa kishindo na kukuta kuna Kiongozi wa Serikali ya Jamuhuri ya Muungano, je, Rais wa Serikali ya muungano atampisha mwenye nyumba yaani Tanganyika?? au mwenye nyumba aende Chamwino???
Scenario nyingine, Kama EL atagombea urais na kushinda kwa upande wa Tanganyika na Samweli Sitta akagombea ule wa muungano na akashinda, je EL atamwachia Sitta IKULU ya Magogoni yeye aende Tegeta?? Tunahitaji kuelezwa IKULU itakuwa ya nani, Tanganyika au Muungano? Lakini vilevile Tanganyika iko tayari kupokwa IKULU yake ya kihistoria??? Haya wanaJF