Rose Mayemba
JF-Expert Member
- May 7, 2012
- 721
- 1,017
Ndugu wanajf,
kuna jambo linanitatiza na yeyote mwenye tafsiri nzuri ya hili asisite kunitafsiria
Kwenye rasimu ya katiba ya Mheshimiwa warioba kuhusu chaguzi ndogo majimboni,rasimu hii imeonekana kutokuafiki uwepo wa chaguzi ndogo na badala yake kama itatokea mfano mbunge akafariki basi chama chake kitaweka mtu mwingine badala yake.
Sasa swali langu ni kwamba je ikitokea mbunge hakutokana na chama chochote cha siasa mrithi wake atatoka wapi?.na je hilo litakuwa ndilo chaguo la wananchi?(hapa ninagusa hata wale wenye vyama).mimi nafikiri hapa kutakuwa na mgogoro mkubwa sana kati ya wananchi na yule atakayeteuliwa.
HILI NI WAZO LANGU
kuna jambo linanitatiza na yeyote mwenye tafsiri nzuri ya hili asisite kunitafsiria
Kwenye rasimu ya katiba ya Mheshimiwa warioba kuhusu chaguzi ndogo majimboni,rasimu hii imeonekana kutokuafiki uwepo wa chaguzi ndogo na badala yake kama itatokea mfano mbunge akafariki basi chama chake kitaweka mtu mwingine badala yake.
Sasa swali langu ni kwamba je ikitokea mbunge hakutokana na chama chochote cha siasa mrithi wake atatoka wapi?.na je hilo litakuwa ndilo chaguo la wananchi?(hapa ninagusa hata wale wenye vyama).mimi nafikiri hapa kutakuwa na mgogoro mkubwa sana kati ya wananchi na yule atakayeteuliwa.
HILI NI WAZO LANGU