Ibara ya 39 (3) 'Raia wa Jamhuri ya Muungano hatapelekwa katika nchi ya nje yoyote kujibu mashtaka au kufanya mahojiano yoyote kinyume na ridhaa yake'.
Je Ibara hii haikinzani na sheria za kimataifa za makosa ya jinai? Siamini kama kuna mtuhumiwa atakuwa tayari kupelekwa nje ya nchi kwa ridhaa yake, hususani akifahamu ya kwamba kuna mapungufu makubwa katika mfumo wa Mahakama wa Tanzania, ambao utaweza kumweka huru.
Je Ibara hii haikinzani na sheria za kimataifa za makosa ya jinai? Siamini kama kuna mtuhumiwa atakuwa tayari kupelekwa nje ya nchi kwa ridhaa yake, hususani akifahamu ya kwamba kuna mapungufu makubwa katika mfumo wa Mahakama wa Tanzania, ambao utaweza kumweka huru.