Kivumah
JF-Expert Member
- Jan 7, 2008
- 2,428
- 1,050
Ukisoma Ibara ya 220(1) ya Rasimu ya Katiba hii iliyotolewa juzi utaona TAKUKURU haijatajwa kama ni moja ya chombo cha Ulinzi na Usalama:
Lakini Pia Ibara ya 228(d) ya Rasimu hii utaona kuwa kazi zinazofanywa na TAKUKURU ambazo ni kuzuia Rushwa na Ufisadi sasa zitafanywa na Jeshi la Polisi
Swali la kujiuliza ni Kwanini rasimu hii haiitambui/kuitaja TAKUKURU kama chombo cha Ulinzi na usalama chenye majukumu ya kuzuia Rushwa na Ufisadi??!
Rejea:
220(1) Taasisi za Ulinzi na Usalama ni:
(a) Jeshi la Wananchi wa Tanzania
(b) Jeshi la Polisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
(c) Idara ya Usalama wa Taifa
228. Katika Utekelezaji wa majukumu yake, Jeshi la Polisi la Jamhuri ya Muungano litazingatia:
(a) Viwango vya juu vya kitaaluma na nidhamu miongoni mwa wafanyakazi wake
(b) Ulinzi na ukuzaji wa haki za binadamu
(c) Kanuni za uwazi na uwajibikaji
(d) Kuzuia rushwa na ufisadi, na
(e) Kukuza mahusiano na jamii
Lakini Pia Ibara ya 228(d) ya Rasimu hii utaona kuwa kazi zinazofanywa na TAKUKURU ambazo ni kuzuia Rushwa na Ufisadi sasa zitafanywa na Jeshi la Polisi
Swali la kujiuliza ni Kwanini rasimu hii haiitambui/kuitaja TAKUKURU kama chombo cha Ulinzi na usalama chenye majukumu ya kuzuia Rushwa na Ufisadi??!
Rejea:
220(1) Taasisi za Ulinzi na Usalama ni:
(a) Jeshi la Wananchi wa Tanzania
(b) Jeshi la Polisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
(c) Idara ya Usalama wa Taifa
228. Katika Utekelezaji wa majukumu yake, Jeshi la Polisi la Jamhuri ya Muungano litazingatia:
(a) Viwango vya juu vya kitaaluma na nidhamu miongoni mwa wafanyakazi wake
(b) Ulinzi na ukuzaji wa haki za binadamu
(c) Kanuni za uwazi na uwajibikaji
(d) Kuzuia rushwa na ufisadi, na
(e) Kukuza mahusiano na jamii