mrelbattawy
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 564
- 112
Ndugu wanajamvi nimeipitia Rasimu hii karibu kurasa zote sioni kifungu wala ibara ya inayomruhusu mshirika wa JMT kujitoa kwenye muungano iwapo ataamua kujitoa kwa sababu zao?
Nisaidieni ndugu.,
Nisaidieni ndugu.,