Nimepitia rasimu ya pili kwa jicho la haraka naona kama kwa nje ni serikali 3 lakini ukisoma content na context ni serikali moja. Nchi washirika hawana madaraka yoyote ya kiserikali (dola). Tume imecheza na maneno na saikolojia za watu tu. Mtazamo wangu tu jamani