ngakotecture
JF-Expert Member
- Dec 30, 2014
- 2,441
- 2,544
Amna kutoka kimaisha sio lazima uwe bosi bali kuna watu aliwafundisha ngumi so wamepata ajira jeshini na askari polisi kupitia sanaa ya ngumi mkuu.so kwa kiasi fulani wamejikomboa mkuu.
Amna kutoka kimaisha sio lazima uwe bosi bali kuna watu aliwafundisha ngumi so wamepata ajira jeshini na askari polisi kupitia sanaa ya ngumi mkuu.so kwa kiasifulani wamejikomboa mkuu.Kina nani hao waliotoka kimaisha kupitia ngumi walizofundishwa na matumla.
Au wapo kibiti mkuu?
Marekani hakufai hata kidogo,,,kila day Black's wanauawa. Afukuzie KUWAIT ALIPOKUWA SAADAM HUSEIN.
Marekani ipi? utajua tu mtu ambaye hajawahi kwenda huko, mnayoona kwenye tv ukiangalia na size na media na ujinga wa watangazaji utawazi tofauti, hakuna mauaji marekani ya mablack kama unavyowaza wewe!
Asante mkuu, nilikuwa nimefungwa na uelewa fulani hivi, sasa natambua ulichomaanisha.Amna kutoka kimaisha sio lazima uwe bosi bali kuna watu aliwafundisha ngumi so wamepata ajira jeshini na askari polisi kupitia sanaa ya ngumi mkuu.so kwa kiasifulani wamejikomboa mkuu.
Hahahahaha nimecheka sana aisee eti alikataa uraia wa Marekani kisa ubeberu huyo hana tofauti na wale wanaoimba kila siku kuwa Marekani ni Kafiri Mkuu hapa Duniani huku moyoni na hadharani mubashara wanang'ang'ania kwenda huko.
Kuna haya mabebi kuwa Marekani waliamua kumpa uraia rashid matumla lakini baba yake akamtaza asichukue kwa sababu flan flan....leo hii matumla amechoka ile mbaya na bila shaka akiwaona akina mayweather wanakula kuku kwa mrija inamuuma sana.
Huwezi kuwa na akili timamua ukapewa uraia wa marekani ukakataa... Angalau chukua. Vuna pesa zao then ukishakuwa tajiri rudi njoo wekeza hapa home. Itikadi nyingine zinakufanya ufe maskin na kipaji unacho.
Sasa matumla amekuwa chuma chakavu hali yake ni mbaya. Mara mwishi miaka ile alikukwa na toyota baloon sijajua kwa sasa anatembelea gari gani.
Ila angejua angechukua uraia wa nchi za watu wenye akili maisha yake yangekuwa mazuri sana.
Wewe maisha ya Matumla yanakuhusu nini?Hivi ushafuatilia matukio na kauli ya Matumla ya hivi karibuni au umeamua tuu kuleta maneno yenu ya kwenye makaratasi bila kujua uhalisia halisi wa maisha anayoishi?
Marekani ya trump. Mkuu why unajitoa ufahamu!!! Mauaji yanayotokea kuuawa kwa waafrika wenze2 dhidi ya police unajifanya hujui!!!!! Tena heri yake hajaenda,,,,marekani 2meifanya kama ndiyo pepo yetu bwana..
Hata muandishi wa hili chapisho ana fikra za kiDonald Cameron ktk uhuru wa fikra na wa maamuzi ni mwanadam kufanya kile ambacho anakiamini bila kuangalia itamgharimu kiasi gani ktk maisha yake leo hii ben saanane hafahamiki aliko ila watu dizein yako watasema kaponzwa na kauli zake bora angekaa kmya.
Na hata serikali ilikataa maono ya D. Cameroon ya wabongo kuoana Gays & Resbian utaona ilikosea eti tu kwa kuwa tutakosa misaada waliyokagomea kutoa tusipowakubalia kuoana.
Cha msingi ni kusimamia unachokiamini na cc wengine tunaamini km ipo ipo tu na sio kila aishie ughaibuni anatusua wapo wanakula goodlife Tz zaidi ya waliokuwepo majuu na ikumbukwe kila jambo lina time yake huwezi kupima maendeleo ya Pele na C. Ronaldo ktk soka ijapokuwa ulimwengu utakili kuwa Pele ndo baba wa soka ulimwenguni au Mayweather na Mohammed Ali hakuna cha kumshabihisha hata kwa nusu Ali anaheshimika kwa shughuli ya Dunia maendeleo na mafanikio yanatokana na wakati
Tusibeze mitazamo fikra za mtu bila kuangalia ni nn kinamfanya aamini hilo NIDHAMU YA FIKARA.
Hakuna kitu kama hicho.
Marekani haimfuati mtu kumwambia eti tunakupa uraia.
Ni uongo, hakuna kitu kama hicho.
Duh hivi ndugu huo utaratibu wa matusi unaonaje ungewapelekea wazazi wako walokufunza hyo tabia ya kutukana usko wajua usitegemee kila andishi lako watu watacomment unavyotaka ww km wazee wako wamekushindwa basi omba walimwengu wenye fikra safi wanyooshe brain yako unaonekana wapori na JF hainaga tabia ya kubaki na mazwazwa dizain tchaooooi cjibizani na wapumbavu.hilo jina lako tu limenipa shida sana dada yangu. kwa nini umeamua kujiita hivyo? umeondoa tu u ukaweka a ili admin wasikukatalie hilo jina. hii biashara si ni haramu unayofanya?