Mambo Jambo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2008
- 1,100
- 81
Yule mshitakiwa wa 11 wa kesi ya mauaji ya wafanyabiashara watatu na dereva teksi mmoja Rashid Lema amefariki dunia.
Huyu jamaa alikuwa ni miongoni mwa maaskari walioshitakiwa pamoja na Bw Zombe.
Huyu jamaa alikuwa ni miongoni mwa maaskari walioshitakiwa pamoja na Bw Zombe.
Last edited: