johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,902
- 141,845
- Thread starter
- #61
CCM inapiga chini DDC kwa kuanzia bwashee.Wapige chini lile jengo la Lumumba ndio mali ya ccm.
Jengo la DDC ni mali ya Jiji.
CCM ndio serikali.
CCM inapiga chini DDC kwa kuanzia bwashee.Wapige chini lile jengo la Lumumba ndio mali ya ccm.
Jengo la DDC ni mali ya Jiji.
Machinga ni social chaos, inapigiwa debe na wanasiasa waliofilisika kisiasa na wamejikuta wana madaraka but they cant think of the future of Tanzania.Mzee Majambo wa mwananyamala na mzee Samaki wa Msasani walikuwa wanafanya nini kama siyo Umachinga?
Chadema ndio waliwatumia wamachinga kupata kura za ubunge Dar es salaam 2015.Machinga ni social chaos, inapigiwa debe na wanasiasa waliofilisika kisiasa na wamejikuta wana madaraka but they cant think of the future of Tanzania.
Ndio maana bange na mirungi inapigwa marufuku Tz, akili zake ni zilezile za akina afande selleMsanii Ras Mtimanyongo anasema kamwe Wamachinga hawawezi kuondoka Kariakoo kwa sababu ndio sokoni kuanzia nchi hii ijitawale.
Hiki alichoandika ndiyo wimbo wake mpya? Haya wenye biti mtengenezeeni.Msanii Ras Mtimanyongo anasema kamwe Wamachinga hawawezi kuondoka Kariakoo kwa sababu ndio sokoni kuanzia nchi hii ijitawale.
Mtimanyongo anasema Wafanyabiashara kwao ni Samora zamani Independence avenue na Kitumbini na ndio maana hadi sasa hata vijiduka vya kariakoo ni vya ujanja ujanja tu.
Mtimanyongo anasisitiza kuwa kifuatacho kiwe TRA kusaka maghala ya hao wajanja wajanja wa kariakoo huko Vingunguti na Buguruni kama kweli wanataka kukusanya kodi.
Mungu ni mwema wakati wote!
Kama akina musukuma wasioweza kufikiri au kuona mbali kutokana na ukomo wa akili zaoMachinga ni social chaos, inapigiwa debe na wanasiasa waliofilisika kisiasa na wamejikuta wana madaraka but they cant think of the future of Tanzania.
Ulitaka awe na akili za mbegembege?Ndio maana bange na mirungi inapigwa marufuku Tz, akili zake ni zilezile za akina afande selle
Hahahaaaa....... Peace & Love!Hiki alichoandika ndiyo wimbo wake mpya? Haya wenye biti mtengenezeeni.
Nakupuuza, siwezi kubishana na mtu asiyekuwa na akili.CCM inapiga chini DDC kwa kuanzia bwashee.
CCM ndio serikali.
NHC hiyo ya familia ya hayati Bob Makani hapo Ufipa?!Nakupuuza, siwezi kubishana na mtu asiyekuwa na akili.
Wavunje na nyumba za NHC, ccm ndio serikali.
Fahamu tafsiri ya neno soko.Kwahiyo kimsingi unakubaliana na Ras kwamba Kariakoo ni Sokoni
Labda nikurahisishir Kariakoo ni Gulio!Fahamu tafsiri ya neno soko.
Market.
Hapo umejirahisishia wewe ili ueleweke sio mimi. Sawa nimekuelewa.Labda nikurahisishir Kariakoo ni Gulio!
Hahahaaaa........!Hapo umejirahisishia wewe ili ueleweke sio mimi. Sawa nimekuelewa.
Acha kuendeshwa kisiasa tii sheria na miongozoo iliyowekwa usihamasishe wamachinga wakaingia barabarani shame in youNchi hii kuna watu wa ajabu sana, yaani siku maisha yenu yakiguswa ndio mnapata akili? Nyakati za uchaguzi hata kupiga kura hamuendi hayawahusu, Watu wanatiwa mageza kwa kuvaa T-Shirts zilizoandikwa katiba mpya ninyi mnasema katiba haiwahusu. Tulieni dawa iwaingie mjisaidie wenye nkwani mambo yenu hayatuhusu sisi.
Mnashindwa kuelewa kwamba tungekua na katiba mpya tungepata viongozi wazuri ambao wangetii sheria wasingewaruhusu mfanye biashara kiholela, wangewajengea masoko mazuri. Sasa amekuja kiongozi mwingine,yeye anataka kufuata sheria mnatakaje? Acheni unafki unganeni na wanaharakati mbali mbali nchini kudai katiba mpya itakayowapa mwongozo mzuri wa kuendesha biashara zenu kiutaratibu mpate faida