kilimasera
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 3,068
- 268
hivi hawa kina ras makunja wanaruhusiwa kuua au wanachotakiwa kuvunja mguu au mkono sijui sheria inasemaje hapa maana kila maandamano unakuta wanaua raia kwa risasi za moto ubinadamu upo kweli hapo??kwa mfano hawa raia wanaouawa ingekua wanavunjwa miguu au mkono tu mie nadhani lawama na uadui kati ya raia na wao vingepungua.....hii sheria kuua ingeangaliwa upya Mungu aliyetuleta hapa duniani sidhani kama anapendezwa na hili wasiwasi wangu kitakachofuata ni laana........viongozi tunao na ishu zenyewe ndogo sana na zinaweza kufanyiwa ufumbuzi kirahisi tu tatizo akili tulizopewa na mungu hatuzitumii kabisa kwa maslahi ya tunaowaongoza bali tunatanguliza umimi mbele na nguvu juu ishu ya songea inasikitisha sana haikuangaliwa mwanzoni tatizo lilipoanza tumefanya mzaha ona sasa watu wamepoteza maisha kizembezembe tu.Angalia migogoro ya kwenye migodi wanaua,maandamano ya Arusha waliua yaani sijui hiki kipengere cha kuua wamekitoa wapi kama kipo napendekeza kifutwe vinginevyo uadui na chuki dhidi ya hawa jamaa vitaendelea kuwepo.....na kukua