Rapper witness sasa ni mganga, anatibu watu kwa tiba lishe

Money Stunna

JF-Expert Member
Aug 9, 2011
13,054
6,281

Msanii wa zamani wa kundi la Wakilisha, Witness Mwaijaga, amesema pamoja na kufanya hip hop kwa sasa ni mfanyabiashara na mtaalam wa tiba asili zinazotumia vyakula vyenye virutubisho

Akizungumza na kipindi cha The Cruise cha East Africa Radio, Witness alitoa ufafanuzi wa jinsi ulaji mbovu ulivyo na madhara kwa afya.

“Siku hizi watu wengi wamekuwa wanakula vyakula vyenye cholesterol,kwa mfano mtu mwingine anaweza akawa na kansa au inaanza au mwingine anaweza akawa ana high blood pressure,hajui tatizo ni nini. Lakini mimi ninaweza nikakuelezea natural ukaelewa hiyo hali natural. Kwasababu tu kula wengine mazoezi,at the same time. Wakati mwingine kuna tatizo lingine ambalo tunalo hapa obesity, suala la ‘unene’ huku kwetu ndio kabisa kwasababu hata mafuta tunayotumia na vyakula vingi viko namna hiyo, watu wanakula nyama nyama sana na vyakula vingi vyenye cholesterol,” alisema rapper huyo.
Kwa upande wa muziki, rapper huyo amesema amemaliza kurekodi video mbili, moja inaitwa ‘Nadata Nawe’ na nyingine inaitwa ‘Think About’ ambazo zote zitatoka mwakani.
 

Msanii wa zamani wa kundi la Wakilisha, Witness Mwaijaga, amesema pamoja na kufanya hip hop kwa sasa ni mfanyabiashara na mtaalam wa tiba asili zinazotumia vyakula vyenye virutubisho

Akizungumza na kipindi cha The Cruise cha East Africa Radio, Witness alitoa ufafanuzi wa jinsi ulaji mbovu ulivyo na madhara kwa afya.

“Siku hizi watu wengi wamekuwa wanakula vyakula vyenye cholesterol,kwa mfano mtu mwingine anaweza akawa na kansa au inaanza au mwingine anaweza akawa ana high blood pressure,hajui tatizo ni nini. Lakini mimi ninaweza nikakuelezea natural ukaelewa hiyo hali natural. Kwasababu tu kula wengine mazoezi,at the same time. Wakati mwingine kuna tatizo lingine ambalo tunalo hapa obesity, suala la ‘unene’ huku kwetu ndio kabisa kwasababu hata mafuta tunayotumia na vyakula vingi viko namna hiyo, watu wanakula nyama nyama sana na vyakula vingi vyenye cholesterol,” alisema rapper huyo.
Kwa upande wa muziki, rapper huyo amesema amemaliza kurekodi video mbili, moja inaitwa ‘Nadata Nawe’ na nyingine inaitwa ‘Think About’ ambazo zote zitatoka mwakani.

Huyu dada namjuwa anafrusa kubwa sana kwa nyuma
 
Back
Top Bottom