hibiscus interior
JF-Expert Member
- Jan 13, 2016
- 1,168
- 594
Kurap ni k
sio lazima igundulike sio bikra ndio ibume.Imegundulika sio bikra?
Stereo ameweka wazi hisia zake kwa Chemical:
Ule wa mbele Kwa Mbele au kuisoma namba?Mwimbo wa ccm
Hahaaaa!!!!! Ana issue za kibongo flevaHuyu motto tokea abadilike na kuanza kurap kiwacky kawa hana akili
Duuu.....choo ndo nin mkuu?James pale ardhi alikua na access na watoto wakali tuu, na jamaa alivyo cool na smart kimwili na kiakili angeweza kuchukua watoto wakali sana, matokeo yake kadata na tom boy asie na sura nzuri wala choo. Haya mambo bana
em Ni PM mkuu unipe story kamil za jemsJames pale ardhi alikua na access na watoto wakali tuu, na jamaa alivyo cool na smart kimwili na kiakili angeweza kuchukua watoto wakali sana, matokeo yake kadata na tom boy asie na sura nzuri wala choo. Haya mambo bana
KikI za kipuuzi kama a kina Kiba na Ommy ,..... nonsense.
Hahahaaa, mkuu unaniangusha. choo ni mat*koDuuu.....choo ndo nin mkuu?
Mkuu inasemekana stereo ni domo zege,ya kweli hayo?Hahahaaa, mkuu unaniangusha. choo ni mat*ko
Jamaa ni mshikaji wake sana ben pol toka kitambo sana (toka enzi za Dar seco), na wote naona itikadi zao zinafanana. Sio watu wa kupenda mademu. James nahisi labda useminary wake unachangiaMkuu inasemekana stereo ni domo zege,ya kweli hayo?
Hahaaaa!!!!! Jumlisha na ugumu wa kihiphop,Jamaa ni mshikaji wake sana ben pol toka kitambo sana, na wote naona itikadi zao zinafanana. Sio watu wa kupenda mademu. James nahisi labda useminary wake unachangia
Hahahaa, hapo ndo balaa zaid. Sema jamaa ni mtu mmoja makini sana, hii move yake kwa chemical imekua ni bonge moja la suprise kwa wengi wanaofahamu itikadi zakeHahaaaa!!!!! Jumlisha na ugumu wa kihiphop,
Hivi hatumii msuba yule jamaaHahahaa, hapo ndo balaa zaid. Sema jamaa ni mtu mmoja makini sana, hii move yake kwa chemical imekua ni bonge moja la suprise kwa wengi wanaofahamu itikadi zake
Gozby au Nikki Mbishi ndio Yupo na Grace Matata.Hivi Grace Matata anadate na Steerio au One incredible?
Hahahaaa, nijuavyo mimi hatumii ganja kabisa. Wapo wanaofkiria labda alistua kidogo kabla ya kwenda kufunguka kwenye media, hata jana kwenye friday night ya sam misago ila napata ukakasi kuamini kua kuna kitu alitumia kabla, labda lakini hatuwezi jua. jana watu walishangaa kinoma kuona mtu mzima kapiga mpaka magoti ya kutosha mbele ya chemicalHivi hatumii msuba yule jamaa
Duu!!!! Hiyo ya Jana nimeikosaHahahaaa, nijuavyo mimi hatumii ganja kabisa. Wapo wanaofkiria labda alistua kidogo kabla ya kwenda kufunguka kwenye media, hata jana kwenye friday night ya sam misago ila napata ukakasi kuamini kua kuna kitu alitumia kabla, labda lakini hatuwezi jua. jana watu walishangaa kinoma kuona mtu mzima kapiga mpaka magoti ya kutosha mbele ya chemical