Ukiangalia kwa jicho la tatu ndio utajua kwanini wasanii wengi wa bongo hawaendelei sababu ni kutokutenganisha Maisha binafsi na muzikiMimi nilidhan amesema huo wimbo wake umemwingizia mamilioni ya pesa. Yaani mtu upo kwenye TV unatangaza wewe ni bikira? Upuuzi kabisa huu kwani bikira itampa ugali?
Jamaa alishia kushika nywele tu. Papuchu "no"Kungekua kuna kipimo tungepima maana Mara ya kwanza alisema alikua na jamaa wakaachana
Ni kweli maana sura kama Avatar yangu,sura ka uji wa lishe,lazma umfunike gunia ukihitaji kupiga pushup!Msanii wa kizazi kipya anaepeperusha bendera ya
Tanzania kwa kupitia songi lake jipya linalokwenda kwa
jina la “I’M SORRY MAMA” mwanadada Chemical,
amesema yeye ni bikira(hakuwahi kujigi jigi tangu
azaliwe).
View attachment 433654
Chemical ameongea hayo wakati akihojiwa katika
kipindi cha D’WIKEND CHATSHOW kinachorushwa
kupitia clouds tv. Chemical ameongeza, licha ya kuwa
bikira hajawahi kujihusisha na mapenzi ya jinsia
moja(ulesbian).
View attachment 433655
Vilevile ameongezea, yeye hana gharama kabisa,
kwasababu hatumii mavitu ya gharama kama wadada
wa mjini(hapaki miwanja, haweki manywele ya bandia,
na makororo mingine ya thamani) ambayo wadada wa
mjini wamekuwa wakitumia
Ebw eeh, unesema ukweli kabisa.Na ndo maana mimi nasemaga "virginity is lack of opportunity" kama huyu uwezi kuniambia kua lajitunza... kakisa wakumwomba mchezo, na saiv ashaonekata kwny kideo lazima wamtufue
Hilo nalo neno.Inawezekana..maana kwa ugumu huo wanaume watakua wanamuogopa ..yuko km dume
Ni kweli maana sura kama Avatar yangu,sura ka uji wa lishe,lazma umfunike gunia ukihitaji kupiga pushup!
Kuwa na jamaa sio sababu, yawezekana alikuwa nae wakaachana sababu alimnyima uchi..Kungekua kuna kipimo tungepima maana Mara ya kwanza alisema alikua na jamaa wakaachana
Hivi inatokeaje neno 'bure" kwenye suala zima la mapenzi!akikupa bure utakataa?
Mkuu ni mavazi tu.Aisee. Yaani ungeweka hizi picha halafu useme watu tubeti kama ni mwanamke au mwanaume mi ningebeti hata nyumba ya urithi nikishadadia kuwa ni mwanaume. Sishangai kwamba bado angali bikra!
Ebw eeh, unesema ukweli kabisa.
Kwanza kujitangaza namna hiyo, yaweza kuwa tunavyoandika hapa mtu keshaliwa.
Ama yaweza kuwa ni kiki ya kuhangaisha vichwa vya wanaume.
Kwasababu wanaume wametofautiana hobi. Mwingine kazi yake ni kufuatilia madem wa kwenye mitandao, awe mtanfazaji,sijui msanii na kuhakikisha anampata kwa gharama yoyote ile.
Sasa na huyu, keshajiweka peupe habakishwi salama.