Rangi za Yanga zinachefua wengi wetu!

Mpendwa

Member
Jun 9, 2011
56
11
yangs.jpeg

Wana jf na wadau wa yanga, Mwenzenu imetokea nimepoteza kabisa mapenzi na timu ya yanga kwa sababu ya rangi zake za ki ccm ccm!! Nimeona watu wengu pia wakilalamika juu ya hili. Pia kuona watu kama baba riz1 na riz1 mwenyewe wana mkono huko ndo nimechefuka mno!! Nawashauri yanga wabadili rangi hata kwa kuchukua labda bluu na nyeupe ili wenye mapenzi mema wasikimbie

Nawasilisha
 
nami pia nilikuwa naenda hata mazoezini lakini baadae haya yalivyojitokeza, hamu na mapenzi ya timu hii yamekwisha na sijafanya substitute bado!
 
View attachment 36166

Wana jf na wadau wa yanga, Mwenzenu imetokea nimepoteza kabisa mapenzi na timu ya yanga kwa sababu ya rangi zake za ki ccm ccm!! Nimeona watu wengu pia wakilalamika juu ya hili. Pia kuona watu kama baba riz1 na riz1 mwenyewe wana mkono huko ndo nimechefuka mno!! Nawashauri yanga wabadili rangi hata kwa kuchukua labda bluu na nyeupe ili wenye mapenzi mema wasikimbie

Nawasilisha
Zipo taarifa kwamba wewe zamani ulikuwa mwehu na tena ulikuwa unajinyea na kulamba mavi,tena unaona mkojo! upo wapi nije nikuongezee mavi?
 
Ni kweli kabisa kuwa rangi ya jezi za Yanga ni CCM 100%! Mi nilikuwa naipenda sana Yanga, ila nimeacha kuishabikia kwa ajili ya rangi ya jezi. Am now in Azam. Pliz Yanga, change the uniform colours.
 
Mi nikiwekewa CCM/Yanga upande mmoja na kitanzi upande mwingine, bora nikimbilie tu kitanzi.
 
View attachment 36166

Wana jf na wadau wa yanga, Mwenzenu imetokea nimepoteza kabisa mapenzi na timu ya yanga kwa sababu ya rangi zake za ki ccm ccm!! Nimeona watu wengu pia wakilalamika juu ya hili. Pia kuona watu kama baba riz1 na riz1 mwenyewe wana mkono huko ndo nimechefuka mno!! Nawashauri yanga wabadili rangi hata kwa kuchukua labda bluu na nyeupe ili wenye mapenzi mema wasikimbie

Nawasilisha

Yanga imeanzishwa miaka ya 1930,wkati CCM imeanzishwa miaka ya 70 .Unaipenda timu kwa sababu ya jezi?
 
View attachment 36166

Wana jf na wadau wa yanga, Mwenzenu imetokea nimepoteza kabisa mapenzi na timu ya yanga kwa sababu ya rangi zake za ki ccm ccm!! Nimeona watu wengu pia wakilalamika juu ya hili. Pia kuona watu kama baba riz1 na riz1 mwenyewe wana mkono huko ndo nimechefuka mno!! Nawashauri yanga wabadili rangi hata kwa kuchukua labda bluu na nyeupe ili wenye mapenzi mema wasikimbie

Nawasilisha
hili lirangi linatia kichefu chefu ..linaumiza macho kinoma
 
Naona timu yenu mnaanza kuisaliti ndio tabia zenu Yanga... sasa ukiifanya Njano na Buluu itakuwa Pan african hiyo sasa.
 
Back
Top Bottom