Mpendwa
Member
- Jun 9, 2011
- 56
- 11
Wana jf na wadau wa yanga, Mwenzenu imetokea nimepoteza kabisa mapenzi na timu ya yanga kwa sababu ya rangi zake za ki ccm ccm!! Nimeona watu wengu pia wakilalamika juu ya hili. Pia kuona watu kama baba riz1 na riz1 mwenyewe wana mkono huko ndo nimechefuka mno!! Nawashauri yanga wabadili rangi hata kwa kuchukua labda bluu na nyeupe ili wenye mapenzi mema wasikimbie
Nawasilisha