MTU ALIYE NYIKANI
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 345
- 454
Msaada wadau, ninaomba kujua jina/aina (kind) ya rangi zinazofaa kupaka kwenye fenicha mbalimbali, hatua za kupaka rangi hizo (Mambo ya kuzingatia)
Pia ni wapi ninaweza kuzipata kwa DAR ES SALAAM sambamba na BEI zake.
Rangi niitakayo kwa sasa ni NYEUSI.
Pia ni wapi ninaweza kuzipata kwa DAR ES SALAAM sambamba na BEI zake.
Rangi niitakayo kwa sasa ni NYEUSI.