Watanzania tumefikia huku kweli? Badala ya kuwaza vitu vya maana tunaongelea rangi ya chupi!
Hoja za kujadiliwa zipo nyingi: Mtwara mambo bado mabichi, Elimu yetu inadidimia kila kukicha, Nani anang'oa watu kucha na meno, Tembo na twiga wanapanda ndege kwa passport toka wapi, Kwa nini watu wanapishana angani kama tai, Rasimu ya katiba, nk.
Ngoja niendelee kusoma rasimu ya Katiba huku jukwaa lingine, hoja nyingine hizi nitamfoadia nyumba ndogo atakujibu.Yaani tutawaza tembo na mtwara kutwa kuchwa? Kha! Si tutashindwa kuleta hivyo vizazi vijavyo sasa? We are saving this beautiful for vizazi vijavyo sustainably. Meaning we have to live and enjoy as well.
Having said that, umevaa kyupi leo?
Cc Kongosho
Yaani tutawaza tembo na mtwara kutwa kuchwa? Kha! Si tutashindwa kuleta hivyo vizazi vijavyo sasa? We are saving this beautiful for vizazi vijavyo sustainably. Meaning we have to live and enjoy as well.
Having said that, umevaa kyupi leo?
Cc Kongosho
Ngoja niendelee kusoma rasimu ya Katiba huku jukwaa lingine, hoja nyingine hizi nitamfoadia nyumba ndogo atakujibu.
Ha ha ha, we are vere bize, akchwale hata wabunge wako bize wanasinzia
Ujue, kwa watu walio bize kama Bill Gate, huwa wanawaamuru wake zao 'rara nikurenge', hawana muda kwa kutafutiana apetaiti
Hehehehe. Hata hiyo amri ya kurara urengwe mpaka ujilaze hapo mwenzio kama hajakoroma basi kakumbuka kitu. Huyoooo home office! Kha!
Ndo maana nyumba ndogo za kizaramo zina soko balaa.
Hivi nyumba ndogo hazivai kyupi? Na zikivaa zinakuwa colourless? Au zenyewe hazisumbui usomaji wa katiba?
Ni chupi ya rangi gani unapenda mpenzi wako avae? Kwa nini?
Hata mwenye jina lake akikisikia unaongelea minor issue km hii you will be included kwenye terrorists list!
Tupotee mara ngapi mkuu, cha kufanya ni kumuomba Mungu atutoe kwenye hili janga tu.Tunapotea.......
Ni chupi ya rangi gani unapenda mpenzi wako avae? Kwa nini?