Rangi nyeusi si rangi ya asili ya binadamu

Namuangalia mkuu King Kong III,naangalia na rangi yake,nagundua kweli mna utani na watu:D:D...

Hahaha ana utani na sisi wa South Sudan.

SOUTH.jpg
 
BIBLIA:
Mimi ni mweusi-mweusi, lakini ninao uzuri, Enyi binti za Yerusalemu, Mfano wa hema za Kedari, Kama mapazia yake Sulemani.

6 Msinichunguze kwa kuwa ni mweusi-mweusi, Kwa sababu jua limeniunguza. Wana wa mamangu walinikasirikia, Waliniweka niwe mlinzi wa mashamba ya mizabibu; Bali shamba langu mwenyewe sikulilinda.
Kitabu gani
 
Hivi kweli rangi asilia ya binadamu Ni nyeupe?au rangi za watu zilikua zinabadilika kutoka sehemu za afrika kwenda ulaya na mashariki ya mbali ambapo mazingira yalikua Ni tofauti na je binadamu wakwanza katika historia ya kisayansi au kidini aliishi bara lipi na alikua na rangi ipi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ivi kweli rangi asilia ya binadamu Ni nyeupe?au rangi za watu zilikua zinabadilika kutoka sehemu za afrika kwenda ulaya na mashariki ya mbali ambapo mazingira yalikua Ni tofauti?na je binadamu wakwanza katika historia ya kisayansi au kidini aliishi bara lipi na alikua na rangi ipi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kisayansi binadamu wa kwanza au niseme ancestor wetu aliishi kwenye misitu ya Afrika mashariki na alikuwa mweupe.
 
BIBLIA:
Mimi ni mweusi-mweusi, lakini ninao uzuri, Enyi binti za Yerusalemu, Mfano wa hema za Kedari, Kama mapazia yake Sulemani.

6 Msinichunguze kwa kuwa ni mweusi-mweusi, Kwa sababu jua limeniunguza. Wana wa mamangu walinikasirikia, Waliniweka niwe mlinzi wa mashamba ya mizabibu; Bali shamba langu mwenyewe sikulilinda.
Kifungu hiki kinapatikana wapi? Inaonesha jinsi gani rangi nyeusi inavyodhalilishwa, tangu enzi na enzi!
 
Kama ni melanini ndio imezalishwa basi watoto wangekuwa wanazaliwa weupe kama wazungu kisha jua linazalisha melanini na kuwa black,cha kushangaza wazungu wakija Afrika hata wakikaa miaka mia wanakuwa na rangi yao ya uzungu ile ile....Kinachobadilika ni kufubaa au kung'aa kwa ngozi.

Gene transformation as far as mutation
 
Bro ni rahisi mwafrika kuntwa dawa na kuwa mweupe kama mzungu, ila mzingu kuwa mwafrica haiwezekani, binafam wote ni weusi, weipe ni sio asili
 
Back
Top Bottom