Rangi nyeusi kwapani

Old Moshi

Senior Member
Jul 31, 2011
118
32
naombeni kuwauliza wakuu. Weusi wa kwapani unasababishwa na nini na unawezaje kuuondoa?? Asanteni.
 
Iyo husababishwa na asidi ya jasho lako, unapokuwa na jasho kali hii ni rahisi kutokea, wakati mwingine huwakabili sana watu wanene kuliko wembamba kwani kwapa hushindwa kupumua na hinyo jasho huunguza ngozi ya kwapa lako lakini pia kuna wembamba ambao hukutwa na hali hii tatizo ni hilo jasho1

fanya hivi kupunguza ama kuondoa tatizo:
-OGA MARA KWA MARA UKIOSHA KWAPA LAKO KWA SABUNI KAMA DETTO
-NYOA NYWELE ZA KWAPA KWAKUTUMIA DAWA {KAMA UTAPENDA} USITUMIE NYEMBE ZITOAZO VIPELE
-HAKIKISHA UACHI NYWELE HIZO ZIWE NDEFU
-DHIBITI JASHO KALI KWA KUPAKA MAJI YA LIMAO KILA SIKU AU MARA TATU KWA WIKI BAADA YA KUOSHA KWAPA/KUOGA USIKU
-JARIBU KUPAKA PODA KWAPANI KILA MARA BAADA YA KUOGA KUZUIA JASHO KUKUUNGUZA
MWISHO JARIBU KUNYWA MAJIMENGI KUPUNGUZA ACID YA JASHO
 
Iyo husababishwa na asidi ya jasho lako, unapokuwa na jasho kali hii ni rahisi kutokea, wakati mwingine huwakabili sana watu wanene kuliko wembamba kwani kwapa hushindwa kupumua na hinyo jasho huunguza ngozi ya kwapa lako lakini pia kuna wembamba ambao hukutwa na hali hii tatizo ni hilo jasho1<br />
<br />
fanya hivi kupunguza ama kuondoa tatizo: <br />
-OGA MARA KWA MARA UKIOSHA KWAPA LAKO KWA SABUNI KAMA DETTO<br />
-NYOA NYWELE ZA KWAPA KWAKUTUMIA DAWA {KAMA UTAPENDA} USITUMIE NYEMBE ZITOAZO VIPELE<br />
-HAKIKISHA UACHI NYWELE HIZO ZIWE NDEFU<br />
-DHIBITI JASHO KALI KWA KUPAKA MAJI YA LIMAO KILA SIKU AU MARA TATU KWA WIKI BAADA YA KUOSHA KWAPA/KUOGA USIKU<br />
-JARIBU KUPAKA PODA KWAPANI KILA MARA BAADA YA KUOGA KUZUIA JASHO KUKUUNGUZA<br />
MWISHO JARIBU KUNYWA MAJIMENGI KUPUNGUZA ACID YA JASHO
<br />
<br />
asante mkuu. Nitalifanyia kazi
 
Iyo husababishwa na asidi ya jasho lako, unapokuwa na jasho kali hii ni rahisi kutokea, wakati mwingine huwakabili sana watu wanene kuliko wembamba kwani kwapa hushindwa kupumua na hinyo jasho huunguza ngozi ya kwapa lako lakini pia kuna wembamba ambao hukutwa na hali hii tatizo ni hilo jasho1

fanya hivi kupunguza ama kuondoa tatizo:
-OGA MARA KWA MARA UKIOSHA KWAPA LAKO KWA SABUNI KAMA DETTO
-NYOA NYWELE ZA KWAPA KWAKUTUMIA DAWA {KAMA UTAPENDA} USITUMIE NYEMBE ZITOAZO VIPELE
-HAKIKISHA UACHI NYWELE HIZO ZIWE NDEFU
-DHIBITI JASHO KALI KWA KUPAKA MAJI YA LIMAO KILA SIKU AU MARA TATU KWA WIKI BAADA YA KUOSHA KWAPA/KUOGA USIKU
-JARIBU KUPAKA PODA KWAPANI KILA MARA BAADA YA KUOGA KUZUIA JASHO KUKUUNGUZA
MWISHO JARIBU KUNYWA MAJIMENGI KUPUNGUZA ACID YA JASHO


kwa kweli...! manake kuna mabinti sehemu za siri hazifai...! kama mkaa..! thnx mkuu
 
Huwa napata burudani pale napomuona binti na kwapa jeusi lakini yeye wala hajali...full kucheza mikono juu...
 
Hivi hapa issue ni rangi kuwa 'nyeusi' au kubadilika rangi ya kwapa.....kama kwapa la mleta mada lingebadilika na kuwa 'jeupe', wakati mleta mada ni mweusi bado ingekuwa ni issue kwake?

Hii hali ya kuona rangi nyeusi ni duni ina gharama kubwa sana....kuna wadada wanafikia mahali wanajichubua mpaka wanakuwa kama vinyago!
 
Alafu zile sehem nyeti kama Kwapani na kwa bibi hata mkologe azikubali
utamkuta demu sehemu nyingine mweupe lakini sehemu nyeti kwa bibi kweusi sasa sijui tatizo nini?
 
Back
Top Bottom