jamani watu tupo serius kwanini bendera ya chadema ina rangi nyekundu?
rangi ile inamaabisha nini?
hiyo ni rangi ya upendo, chama kinasistiza upendo baina ya wanainchi na uzalendo kwa inchi yao pamoja na ku2nza raslimali za inchi kama tembo
jamani watu tupo serius kwanini bendera ya chadema ina rangi nyekundu?
rangi ile inamaabisha nini?
Wakuu naombeni kuelimishwa kwa nini cdm bendera yao ina rangi nyekundu wakati hawana historia yoyote kuhusu ukombozi wa bara letu la Afrika?
Wakuu naombeni kuelimishwa kwa nini cdm bendera yao ina rangi nyekundu wakati hawana historia yoyote kuhusu ukombozi wa bara letu la Afrika?
ni ishara Ya Anguko la CCM
Wakuu naombeni kuelimishwa kwa nini cdm bendera yao ina rangi nyekundu wakati hawana historia yoyote kuhusu ukombozi wa bara letu la Afrika?
Rangi Nyekundu inamaanisha amani na upendo.Wakuu naombeni kuelimishwa kwa nini cdm bendera yao ina rangi nyekundu wakati hawana historia yoyote kuhusu ukombozi wa bara letu la Afrika?
naomba kujuzwa meno ya tembo na twiga yanawakilishwa kwa alama ipi kwenye bendera ya CCM?
Ukombozi a.k.a Mabadiliko si lazima iwe kumng'oa mkoloni tu(mzungu) bali hata fisadi ndani ya taifa lake aliyetayari hata kumwaga damu ili iwe tishio na kuendelea kubaki madarakani.Refer Kwa marehemu Daudi Mwangosi na wapigania haki wengine waliotutangulia.
Labda, walioamua kuiweka rangi nyekundu walijuaje kama machafuko yatatokea? Yalishatabiriwa ingawa si Kwa kiasi kikubwa.
Ni fikra zangu tu
Wakuu naombeni kuelimishwa kwa nini cdm bendera yao ina rangi nyekundu wakati hawana historia yoyote kuhusu ukombozi wa bara letu la Afrika?