Rangi Nyekundu kwenye bendera ya CHADEMA ina maana gani?

Kweli wabongo hatuwezi dili na lililo mbele yetu. Sembuse viongozi waliotoka jamii hii hii? Kebehi kibao badala ya kujibu.


Hata mimi sijui wala sijawahi kufikiria. Anaejua atujuze jamani.
 
Ile ya kijani ya ccm haiuzi kwa kizazi hiki,rangi ya cdm ipo kijanja.nawashauri ccm wakitaka wakubalike waongezee ktk bendera ile nembo ya Jamatin maana ndo wanatoa vijisent vya kampeni kumpa migulubaja.
 
wewe ulivyozaliwa mweusi, kulikuwa na maana yoyote kwa kuzaliwa na rangi nyeusi ya ngozi yako?

hapa naomba nimjibie, na jibu sahihi la swali lako hili ni 'ndyo' kwani, mungu ndio m'bora wa waumbaji, kaumba wanadamu kwa umbo zuri kuliko viumbe wote, kwa rangi, makabila na mataifa tofauti tofauti ili wapate kutambuana! Mkuu tofauti hizi za rangi mungu kaziweka makusudi kabisa! Bila shaka umeelewa.
 
naomba mnijuze rangi za Bendera ya CHADEMA zina maana gani ???

BENDERA MPYA YA CHADEMA​
flag1.jpg

Muundo wa Bendera​

  1. Bendera ya CHADEMA ina rangi nne: Nyeusi, Bluu isiyokoza (light blue), nyeupe na nyekundu.
  2. Bendera ya CHADEMA ina nembo ya kiganya cha mkono kilichonyoosha vidole viwili katika mfumo wa V kama ishara ya USHINDI. CHADEMA ni chama kinacholenga kushinda kidemokrasia na hatimaye kuleta ushindi wa maendeleo ya taifa.
  3. Rangi ya BLUU ISIYOKOZA iko juu ya rangi NYEKUNDU kama ishara kwamba kama taifa tumevushwa na mashujaa kuelekea katika jamii yenye haki, na wakati wote CHADEMA imevuka hatua kama chama cha siasa na sasa inasimamia haki.
  4. Rangi nyeupe iko mbele ya rangi zote kama ishara kwamba chama kinatanguliza UKWELI NA UWAZI katika nyanja zote. Pia rangi nyeupi imebeba nembo ya chama kwa kuwa UKWELI NA UWAZI ni misingi muhimu sana kwa chama. Nembo ya chama iko mbele kama kama ishara ya CHADEMA kuwa chama kiongozi katika kuchochea misingi muhimu katika kuleta mabadiliko na maendeleo katika Taifa.
  5. Rangi zingine zinatenganishwa na ufito mweusi ambao unaumbo la "T" ikiwasilisha kifupi cha jina la taifa la Tanzania.
Rangi za Bendera
NYEUSI
Rangi hii inawakilisha WATU WA TANZANIA. Hii ni rangi ya wazawa asili wa nchi yetu. Ni rangi ambayo inabeba pia falsafa ya NGUVU YA UMMA.
BLUU ISIYOKOZA (LIGHT BLUE)
Hii ni rangi ya asili ya CHADEMA. Ni rangi ambayo inawasilisha HAKI. Lakini pia rangi hiyo inawakilisha BAHARI kama ishara ya maliasili/raslimaji na Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar.
NYEUPE
Rangi nyeupe inawasilisha UKWELI, UWAZI na AMANI. Huu ni msingi muhimu wa CHADEMA. CHADEMA ni chama ambacho kitasimamia uadilifu kwa njia ya demokrasia.
NYEKUNDU
Rangi nyekundu inawakilisha MASHUJAA. CHADEMA inathamini historia ya nchi yetu ambayo inawasilisha kumbukumbu ya mashujaa waliotupitisha katika michakato ya mbalimbali ya demokrasia na maendeleo ikiwemo harakati za kuondoa ukoloni. Rangi hii ni chimbuko la uzalendo wetu.
 
BENDERA MPYA YA CHADEMA​
flag1.jpg
Muundo wa Bendera​

  1. Bendera ya CHADEMA ina rangi nne: Nyeusi, Bluu isiyokoza (light blue), nyeupe na nyekundu.
  2. Bendera ya CHADEMA ina nembo ya kiganya cha mkono kilichonyoosha vidole viwili katika mfumo wa V kama ishara ya USHINDI. CHADEMA ni chama kinacholenga kushinda kidemokrasia na hatimaye kuleta ushindi wa maendeleo ya taifa.
  3. Rangi ya BLUU ISIYOKOZA iko juu ya rangi NYEKUNDU kama ishara kwamba kama taifa tumevushwa na mashujaa kuelekea katika jamii yenye haki, na wakati wote CHADEMA imevuka hatua kama chama cha siasa na sasa inasimamia haki.
  4. Rangi nyeupe iko mbele ya rangi zote kama ishara kwamba chama kinatanguliza UKWELI NA UWAZI katika nyanja zote. Pia rangi nyeupi imebeba nembo ya chama kwa kuwa UKWELI NA UWAZI ni misingi muhimu sana kwa chama. Nembo ya chama iko mbele kama kama ishara ya CHADEMA kuwa chama kiongozi katika kuchochea misingi muhimu katika kuleta mabadiliko na maendeleo katika Taifa.
  5. Rangi zingine zinatenganishwa na ufito mweusi ambao unaumbo la "T" ikiwasilisha kifupi cha jina la taifa la Tanzania.
Rangi za Bendera
NYEUSI
Rangi hii inawakilisha WATU WA TANZANIA. Hii ni rangi ya wazawa asili wa nchi yetu. Ni rangi ambayo inabeba pia falsafa ya NGUVU YA UMMA.
BLUU ISIYOKOZA (LIGHT BLUE)
Hii ni rangi ya asili ya CHADEMA. Ni rangi ambayo inawasilisha HAKI. Lakini pia rangi hiyo inawakilisha BAHARI kama ishara ya maliasili/raslimaji na Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar.
NYEUPE
Rangi nyeupe inawasilisha UKWELI, UWAZI na AMANI. Huu ni msingi muhimu wa CHADEMA. CHADEMA ni chama ambacho kitasimamia uadilifu kwa njia ya demokrasia.
NYEKUNDU
Rangi nyekundu inawakilisha MASHUJAA. CHADEMA inathamini historia ya nchi yetu ambayo inawasilisha kumbukumbu ya mashujaa waliotupitisha katika michakato ya mbalimbali ya demokrasia na maendeleo ikiwemo harakati za kuondoa ukoloni. Rangi hii ni chimbuko la uzalendo wetu.

kaka umeniwahi tu nilikuwa nataka kumwekea hiyo hiyo ila jamani tusiwe wavivu kabla ya ku-post uzi hapa tuwe tumefanya utafiti wa kutosha ili kuwapa nafsi wengine wenye post zilizokosa majibu kabisa.
 
Ushapata majibu,haya na wewe swali lako lililenga nini? Mbona haujauliza rangi za bendera ya nccr,tlp,cuf,udp,dp,nra,ppt maendeleo,cck,jahazi asilia? Kama hzo nyingine unazijua tujuze basi nasisi tujue!!!
 
Zilibadilishwa kutoka zile za zamani ambazo hazikuwa na affliation na dini mpaka za hivi sasa baada ya kufunga agano na kanisa. Nenda parokiani utajulishwa kwa undani!

mkuu mbona unaleta maswala ya dini tena hapa ??hujasoma swali vizuri inaelekea
 
Wewe ulivyozaliwa mweusi, kulikuwa na maana yoyote kwa kuzaliwa na rangi nyeusi ya ngozi yako?

Mkuu nadhani mfano wako uko irrelevant ,hakuna mtu anayechagua azaliwe rangi gani ,ila hizi rangi za bendera zinakuwaa na maana na zinachaguliwa na watu kulingana na maana wanayotaka kuiwasilisha kwa umma.
 
BENDERA MPYA YA CHADEMA​
flag1.jpg

Muundo wa Bendera​

  1. Bendera ya CHADEMA ina rangi nne: Nyeusi, Bluu isiyokoza (light blue), nyeupe na nyekundu.
  2. Bendera ya CHADEMA ina nembo ya kiganya cha mkono kilichonyoosha vidole viwili katika mfumo wa V kama ishara ya USHINDI. CHADEMA ni chama kinacholenga kushinda kidemokrasia na hatimaye kuleta ushindi wa maendeleo ya taifa.
  3. Rangi ya BLUU ISIYOKOZA iko juu ya rangi NYEKUNDU kama ishara kwamba kama taifa tumevushwa na mashujaa kuelekea katika jamii yenye haki, na wakati wote CHADEMA imevuka hatua kama chama cha siasa na sasa inasimamia haki.
  4. Rangi nyeupe iko mbele ya rangi zote kama ishara kwamba chama kinatanguliza UKWELI NA UWAZI katika nyanja zote. Pia rangi nyeupi imebeba nembo ya chama kwa kuwa UKWELI NA UWAZI ni misingi muhimu sana kwa chama. Nembo ya chama iko mbele kama kama ishara ya CHADEMA kuwa chama kiongozi katika kuchochea misingi muhimu katika kuleta mabadiliko na maendeleo katika Taifa.
  5. Rangi zingine zinatenganishwa na ufito mweusi ambao unaumbo la “T” ikiwasilisha kifupi cha jina la taifa la Tanzania.
Rangi za Bendera
NYEUSI
Rangi hii inawakilisha WATU WA TANZANIA. Hii ni rangi ya wazawa asili wa nchi yetu. Ni rangi ambayo inabeba pia falsafa ya NGUVU YA UMMA.
BLUU ISIYOKOZA (LIGHT BLUE)
Hii ni rangi ya asili ya CHADEMA. Ni rangi ambayo inawasilisha HAKI. Lakini pia rangi hiyo inawakilisha BAHARI kama ishara ya maliasili/raslimaji na Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar.
NYEUPE
Rangi nyeupe inawasilisha UKWELI, UWAZI na AMANI. Huu ni msingi muhimu wa CHADEMA. CHADEMA ni chama ambacho kitasimamia uadilifu kwa njia ya demokrasia.
NYEKUNDU
Rangi nyekundu inawakilisha MASHUJAA. CHADEMA inathamini historia ya nchi yetu ambayo inawasilisha kumbukumbu ya mashujaa waliotupitisha katika michakato ya mbalimbali ya demokrasia na maendeleo ikiwemo harakati za kuondoa ukoloni. Rangi hii ni chimbuko la uzalendo wetu.

Mkuu nashukuru sana ,hapa ndio nimepata majibu ya maana !
 
Mi naikubali sana Chadema lakini hapo Kwenye Rangi NYEKUNDU hapo mi sidhani kama ni sababu ya Msingi
 
Mi naikubali sana Chadema lakini hapo Kwenye Rangi NYEKUNDU hapo mi sidhani kama ni sababu ya Msingi

Kama hukubaliani na sababu hiyo basi ongeza yakwako. red= mwekundu wa msimbazi( simba) & damu ya wazee wetu waliopigana na wakoloni mfano ni vita ya majimaji kule ruvuma
 
ukitafakari bendera ya cdm utagundua kuwa waliochagua rangi na maana zake wanaupeo mkubwa sana wa kufikiri,
 
Mi naikubali sana Chadema lakini hapo Kwenye Rangi NYEKUNDU hapo mi sidhani kama ni sababu ya Msingi

utaipinga tu rangi nyekundu endapo unaamini kuwa historia ya Tanzania inaanzia mwaka 1961 kama CCM, Lakini kama unajuwa kuwa kuna mashujaa kibao kabla ya Nyerere kama akina mkwawa, kimweri, kinjeketile walikufa kwa kupigania uhuru wa taifa hili ni lazima rangi nyekundu utaikubali.
 
Zilibadilishwa kutoka zile za zamani ambazo hazikuwa na affliation na dini mpaka za hivi sasa baada ya kufunga agano na kanisa. Nenda parokiani utajulishwa kwa undani!

affected by brain disease called 'JUSSA'...
 
Tatizo liko wapi?..Rangi nyekundu inaweza kuwa pia kutambua, kulinda na kudumisha MAPINDUZI ya ZANZIBAR, kwani kuna ubaya?
 
Back
Top Bottom