Ndio siku gani hiyo mkuuOne day yes😊
itakuwa ni new model eeh 😀😀😀Hii tunaisubiria 2031 hivi. Ikiwa na 80,000 km kwenye Odometer.
RR zina depreciation kubwa kinoma. Utashangaa from $400,000 to $40,000 ndani ya 2 yrs. Imagine 10.itakuwa ni new model eeh 😀😀😀
Duh mkuu mbona za 2014 huko bei bado imesimama kwenye £25,000 ambayo ni 80m bado TRA hamjatoana damu!RR zina depreciation kubwa kinoma. Utashangaa from $400,000 to $40,000 ndani ya 2 yrs. Imagine 10.
Kabisa tena Madalali wataiita "Range Macho ya Simba"🤣🤣🤣itakuwa ni new model eeh 😀😀😀
Base model ya RR Sports ya 2014 inavyotoka cheapest ilikua $60,000 hivi hapo bila on road costs.Duh mkuu mbona za 2014 huko bei bado imesimama kwenye £25,000 ambayo ni 80m bado TRA hamjatoana damu!
Auto Trader UK - New and Used Cars For Sale
Find your next car with Auto Trader UK, the official #1 site to buy and sell new and used cars. Over 400,000 cars online. Simple, easy, quick!www.autotrader.co.uk
Kwahio sasa hivi unainunua Kwa £5000?Base model ya RR Sports ya 2014 inavyotoka cheapest ilikua $60,000 hivi hapo bila on road costs.
View attachment 1991834