Nyonzo bin mvule
JF-Expert Member
- Sep 19, 2020
- 2,166
- 6,093
Kumbe nini mkuu toroli lile!Fan cargo sio gari
Kumbe nini mkuu toroli lile!Fan cargo sio gari
Kama ommy madimpo alipewa rangeNenda kwa bwana Joho hapo Mombasa atakupa maelekezo
Kama alivyowapa maelekezo omMy dimpoz na mwenzake kibaNenda kwa bwana Joho hapo Mombasa atakupa maelekezo😅
Eeh amewapa muongozo vizuri sanaKama alivyowapa maelekezo omMy dimpoz na mwenzake kiba
Noma sana!Eeh amewapa muongozo vizuri sana
Ford Ranger Wild Trak ni habari zingine ila bei yake unapata used lc200Tuletee na Ford Ranger 2022 nasikia kafanya mafekeche kwenye cabin na engine
hahah wala hujakosea mkuuUkiona unaulizia consumption ya hio Gari, jua vitz ndio size yako. Au nasema uongo ndg zangu?
hakika masikini tuna maelezo marefu Sana!Ukiona unaulizia consumption ya hio Gari, jua vitz ndio size yako. Au nasema uongo ndg zangu?
Na kiba alipewa maelekezoKama alivyowapa maelekezo omMy dimpoz na mwenzake kiba