Sikirimimimasikini
JF-Expert Member
- Dec 27, 2019
- 2,919
- 15,604
Ramzan Kadyrov ameonekana kwenye video ya kustaajabisha na isiyo ya kawaida akipigana na kumgaragaza mswidi Khamzat Chimaev ambaye ni mtaalamu (professional) wa mieleka na mpiganaji wa staili mchanganyiko za martial arts ambaye ni Champion wa UFC (Ultimate Fighting Championship).
Khamzat Chimaev hapo kabla amewahi pia kupambana ktk Brave Combat Federation. Ktk mieleka, Chimaev ni mswidi ambaye amewahi kuwa champion kwa mara tatu.
Khamzat Chimaev amewahi pia nyakua ushidi wa UFC kwenye mapambano dhidi ya John Phillips, Rhys McKee, Gerald Meerschaert na Li Jingliang
Khamzat Chimaev hapo kabla amewahi pia kupambana ktk Brave Combat Federation. Ktk mieleka, Chimaev ni mswidi ambaye amewahi kuwa champion kwa mara tatu.
Khamzat Chimaev amewahi pia nyakua ushidi wa UFC kwenye mapambano dhidi ya John Phillips, Rhys McKee, Gerald Meerschaert na Li Jingliang