Rambo wa kinyakyusa....!!!

donlucchese

JF-Expert Member
Mar 23, 2011
17,047
21,519
uploadfromtaptalk1466977680112.jpg
 
"Ndugu Zangu Watanzania, Ninaposema Nataka Tanzania Ya Viwanda Ninamaanisha Kwelikweli Maana Tuna Marighafi Na Hata Wataalamu Hususani Vijana Kama Huyu Rambo Nimesahau Sijui Anatoka Rungwe Au Kyela.
Nami Nasema Huyo Kijana Sitamwangusha, Nitamuunga Mkono Katika Maono Yake Mazuri Na Nitahakikisha Ninampa Nafasi Ya DAS Katika Halmashauri Ya Busokelo Ili Mzee Wangu Prof. Mwandosya Anitazame Vizuri.
 
"Ndugu Zangu Watanzania, Ninaposema Nataka Tanzania Ya Viwanda Ninamaanisha Kwelikweli Maana Tuna Marighafi Na Hata Wataalamu Hususani Vijana Kama Huyu Rambo Nimesahau Sijui Anatoka Rungwe Au Kyela.
Nami Nasema Huyo Kijana Sitamwangusha, Nitamuunga Mkono Katika Maono Yake Mazuri Na Nitahakikisha Ninampa Nafasi Ya DAS Katika Halmashauri Ya Busokelo Ili Mzee Wangu Prof. Mwandosya Anitazame Vizuri.
Na sitamwaaaangusha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom