Ramani ya dunia inadanganya kuhusu ukubwa halisi wa nchi

Red Giant

JF-Expert Member
Mar 9, 2012
15,658
20,889
Ramani nyingi tunazotumia sasa zinatokana na Ramani ya Mercator. Huyu mercator alikuwa ni mtaalamu wa Ramani. Alitengeneza Ramani yake miaka ya 1500. Alichukua point kutoka kwenye tufe la dunia na kuzihamishia kwenye karatasi flat.

Ramani yake ilikuwa nzuri sababu haikubadilisha maumbo ya nchi na ilikuwa reliable sana kwa usafiri wa majini sababu ilionyesha uelekeo halisi. Tatizo ya hii Ramani ni kuwa ilionyesha nchi ambazo zipo karibu na ikweta kuwa ndogo ilhali nchi zilizo kaskazini na kusini kuwa kubwa. Kwenye ramani hiyo kisiwa cha Greenland kinaonekana kikubwa sawa na Africa wakati kihalisi Africa ni kubwa karibu mara 15 ya kisiwa hicho.

Hili no muhimu sababu watu kutoka nchi ndogo hujihisi inferior na insignificant. sasa watu wakizoea kuona Africa na nchi zake kama visehemu vidogo huongeza dharau kwa bara na nchi zetu.
Kuna raman ya gall peter ambayo huonyesha ukubwa halisi wa nchi.
images-5.jpg
images-6.jpg
images-7.jpg
 
Nakubaliana na wewe kwa hilo, kuna makala moja nilibahatika kuiangalia inaelezea kuhusu ukubwa halisi wa Mabara na nchi. Uliyoyaandika ndiyo waliyoyasema tena kuna mengi zaidi ya uliyoyaandika. Mathalani Misri ukiitizama kiramani inaonekana ipo juu kwa kuitwa kaskazini na Tanzania ipo mashariki mwa Afrika. Ki ramani ukiitizama na kimuundo wa tufe la mfano wa Dunia Misri ipo juu na Tanzania ipo chini ya Misri. Fuatilia mto Nile ambao chanzo chake ni ziwa Victoria na maporomoko yake makubwa yapo Ethiopia na mto Nile hufika mpaka Misri.

Tafsiri nyepesi inayokuja hapa ni chanzo cha mto Nile ni ziwa Victoria na hutirirsha maji mpaka Misri. Swali la kujiuliza Misri ni kaskazini(juu), ziwa Victoria lipo mashariki mwa afrika,kiramani na tufe la mfano wa Dunia ipo chini ya Misri. Sasa inakuaje maji yanatirirka kutoka chini kuelekea juu? Au kusini ndiyo juu na kaskazini ndiyo chini? Binafsi sifahamu anayejua anaweza akatufahamisha katika hili.
 
Nakubaliana na wewe kwa hilo, kuna makala moja nilibahatika kuiangalia inaelezea kuhusu ukubwa halisi wa Mabara na nchi. Uliyoyaandika ndiyo waliyoyasema tena kuna mengi zaidi ya uliyoyaandika. Mathalani Misri ukiitizama kiramani inaonekana ipo juu kwa kuitwa kaskazini na Tanzania ipo mashariki mwa Afrika. Ki ramani ukiitizama na kimuundo wa tufe la mfano wa Dunia Misri ipo juu na Tanzania ipo chini ya Misri. Fuatilia mto Nile ambao chanzo chake ni ziwa Victoria na maporomoko yake makubwa yapo Ethiopia na mto Nile hufika mpaka Misri.

Tafsiri nyepesi inayokuja hapa ni chanzo cha mto Nile ni ziwa Victoria na hutirirsha maji mpaka Misri. Swali la kujiuliza Misri ni kaskazini(juu), ziwa Victoria lipo mashariki mwa afrika,kiramani na tufe la mfano wa Dunia ipo chini ya Misri. Sasa inakuaje maji yanatirirka kutoka chini kuelekea juu? Au kusini ndiyo juu na kaskazini ndiyo chini? Binafsi sifahamu anayejua anaweza akatufahamisha katika hili.
Mito nadhani haifuati kaskazini na mashariki. Inafuata altitude.
 
Ndio, elevation. Kwa ukifuatilia milima ya Alps kuna mito direction zote
Kama nimekosea nisahihishe ili nipate kuelewa zaidi.

Kwa mfano tukisema the most high altitude point on earth ni Mount Everest ina maanisha kwamba distance yake above sea level ni kubwa na altitude ninavyofahamu ni is above a point, it is used for points above the surface.
Ina relate vipi na hilo swali nililouliza hii altitude? Nitoe ujinga tafadhali.
 
Nakubaliana na wewe kwa hilo, kuna makala moja nilibahatika kuiangalia inaelezea kuhusu ukubwa halisi wa Mabara na nchi. Uliyoyaandika ndiyo waliyoyasema tena kuna mengi zaidi ya uliyoyaandika. Mathalani Misri ukiitizama kiramani inaonekana ipo juu kwa kuitwa kaskazini na Tanzania ipo mashariki mwa Afrika. Ki ramani ukiitizama na kimuundo wa tufe la mfano wa Dunia Misri ipo juu na Tanzania ipo chini ya Misri. Fuatilia mto Nile ambao chanzo chake ni ziwa Victoria na maporomoko yake makubwa yapo Ethiopia na mto Nile hufika mpaka Misri.

Tafsiri nyepesi inayokuja hapa ni chanzo cha mto Nile ni ziwa Victoria na hutirirsha maji mpaka Misri. Swali la kujiuliza Misri ni kaskazini(juu), ziwa Victoria lipo mashariki mwa afrika,kiramani na tufe la mfano wa Dunia ipo chini ya Misri. Sasa inakuaje maji yanatirirka kutoka chini kuelekea juu? Au kusini ndiyo juu na kaskazini ndiyo chini? Binafsi sifahamu anayejua anaweza akatufahamisha katika hili.
Itakuwa Dunia imekaa hivi.
tapatalk_1531832877760.jpeg
 
Kama nimekosea nisahihishe ili nipate kuelewa zaidi.

Kwa mfano tukisema the most high altitude point on earth ni Mount Everest ina maanisha kwamba distance yake above sea level ni kubwa na altitude ninavyofahamu ni is above a point, it is used for points above the surface.
Ina relate vipi na hilo swali nililouliza hii altitude? Nitoe ujinga tafadhali.
Maelezo yako ya elevation, altitude ni sahihi. Na yote yana maanisha juu kwa kiswahili rahisi. Ulipochanganya kulinganisha ramani ukimaanisha juu. Misri ipo kaskazini haipo juu kwa maana ya elevation. Kwa hiyo mfano wa mto nile hausadifu maana mito hutoka juu( above point, high altitude) na kuelekea chini hili halihusishi pande za uelekeo yaani kaskazi, ku

Nimekupa mfano wa milima ya Alps sababu ina mito kuelekea pande zote( kaskazi, kusi, mashariki, magharibi).
 
Maelezo yako ya elevation, altitude ni sahihi. Na yote yana maanisha juu kwa kiswahili rahisi. Ulipochanganya kulinganisha ramani ukimaanisha juu. Misri ipo kaskazini haipo juu kwa maana ya elevation. Kwa hiyo mfano wa mto nile hausadifu maana mito hutoka juu( above point, high altitude) na kuelekea chini hili halihusishi pande za uelekeo yaani kaskazi, ku

Nimekupa mfano wa milima ya Alps sababu ina mito kuelekea pande zote( kaskazi, kusi, mashariki, magharibi).
Nimekuelewa ahsante sana kwa kunitoa huu ujinga nitarudi kwenye hoja baadae kuna kazi naifanya kwa huu muda.

Thanks.
 
Nakubaliana na wewe kwa hilo, kuna makala moja nilibahatika kuiangalia inaelezea kuhusu ukubwa halisi wa Mabara na nchi. Uliyoyaandika ndiyo waliyoyasema tena kuna mengi zaidi ya uliyoyaandika. Mathalani Misri ukiitizama kiramani inaonekana ipo juu kwa kuitwa kaskazini na Tanzania ipo mashariki mwa Afrika. Ki ramani ukiitizama na kimuundo wa tufe la mfano wa Dunia Misri ipo juu na Tanzania ipo chini ya Misri. Fuatilia mto Nile ambao chanzo chake ni ziwa Victoria na maporomoko yake makubwa yapo Ethiopia na mto Nile hufika mpaka Misri.

Tafsiri nyepesi inayokuja hapa ni chanzo cha mto Nile ni ziwa Victoria na hutirirsha maji mpaka Misri. Swali la kujiuliza Misri ni kaskazini(juu), ziwa Victoria lipo mashariki mwa afrika,kiramani na tufe la mfano wa Dunia ipo chini ya Misri. Sasa inakuaje maji yanatirirka kutoka chini kuelekea juu? Au kusini ndiyo juu na kaskazini ndiyo chini? Binafsi sifahamu anayejua anaweza akatufahamisha katika hili.
Mkuu mbona hii rahisi tu, angalia distance ya Misri above sea level,
The altitude of Egypt ranges from 133 m (436 ft) below sea level in the Libyan Desert to 2,629 m (8,625 ft) above in the Sinai Peninsula. The Nile Delta is a broad, alluvial land, sloping to the sea for some 160 km (100 mi), with a 250-km (155-mi) maritime front between Alexandria (Al-Iskandariyah) and Port Sa'id. South of Cairo, most of the country (known as Upper Egypt) is a tableland rising to some 460 m (1,500 ft). The narrow valley of the Nile is enclosed by cliffs as high as 550 m (1,800 ft) as the river flows about 900 km (560 mi) from Aswan to Cairo. A series of cascades and rapids at Aswan, known as the First Cataract (the other cataracts are in the Sudan), forms a barrier to movement upstream.
Read more: Topography - Egypt - annual
Tanzania, The country is the site of Africa's highest and lowest points: Mount Kilimanjaro, at 5,895 metres (19,341 ft) above sea level, and the floor of Lake Tanganyika, at 352 metres (1,155 ft) below sea level, respectively.
 
Maelezo yako ya elevation, altitude ni sahihi. Na yote yana maanisha juu kwa kiswahili rahisi. Ulipochanganya kulinganisha ramani ukimaanisha juu. Misri ipo kaskazini haipo juu kwa maana ya elevation. Kwa hiyo mfano wa mto nile hausadifu maana mito hutoka juu( above point, high altitude) na kuelekea chini hili halihusishi pande za uelekeo yaani kaskazi, ku

Nimekupa mfano wa milima ya Alps sababu ina mito kuelekea pande zote( kaskazi, kusi, mashariki, magharibi).
Ahsante kwa kunitoa ujinga. Na sorry post ya juu nilikosea kukujibu samahani kama nilikukwaza.
 
Nakubaliana na wewe kwa hilo, kuna makala moja nilibahatika kuiangalia inaelezea kuhusu ukubwa halisi wa Mabara na nchi. Uliyoyaandika ndiyo waliyoyasema tena kuna mengi zaidi ya uliyoyaandika. Mathalani Misri ukiitizama kiramani inaonekana ipo juu kwa kuitwa kaskazini na Tanzania ipo mashariki mwa Afrika. Ki ramani ukiitizama na kimuundo wa tufe la mfano wa Dunia Misri ipo juu na Tanzania ipo chini ya Misri. Fuatilia mto Nile ambao chanzo chake ni ziwa Victoria na maporomoko yake makubwa yapo Ethiopia na mto Nile hufika mpaka Misri.

Tafsiri nyepesi inayokuja hapa ni chanzo cha mto Nile ni ziwa Victoria na hutirirsha maji mpaka Misri. Swali la kujiuliza Misri ni kaskazini(juu), ziwa Victoria lipo mashariki mwa afrika,kiramani na tufe la mfano wa Dunia ipo chini ya Misri. Sasa inakuaje maji yanatirirka kutoka chini kuelekea juu? Au kusini ndiyo juu na kaskazini ndiyo chini? Binafsi sifahamu anayejua anaweza akatufahamisha katika hili.
1. Maji ya mto yanatiririka kwa kufuata "elevation", maana yake, urefu wa sehemu kutoka usawa wa bahari. Kutoka juu, kwenda chini.

2.Maji hayajali hizo habari za East, West, North and South, hizo zimetungwa na watu tu.

3. Habari ya Misri kuwa juu ya Tanzania katika ramani ni convention tu, unaweza kuchora ramani ambayo Tanzania ipo juu ya Misri na bado ikawa accurate.

Watu washaongelea hili hapa --> Five maps that will change how you see the world

image-20170322-31217-3p4bxk.jpg


North is up, right? Only by convention. There’s no scientific reason why north is any more up than south. Equally, we could do east-up, west-up or any other compass bearing. Purposefully reversing the typical way world maps are drawn has a similar political effect to using the Peters projection, putting more developing countries in the generally poorer southern hemisphere at the top of the map and so giving them greater significance.
 
Nakubaliana na wewe kwa hilo, kuna makala moja nilibahatika kuiangalia inaelezea kuhusu ukubwa halisi wa Mabara na nchi. Uliyoyaandika ndiyo waliyoyasema tena kuna mengi zaidi ya uliyoyaandika. Mathalani Misri ukiitizama kiramani inaonekana ipo juu kwa kuitwa kaskazini na Tanzania ipo mashariki mwa Afrika. Ki ramani ukiitizama na kimuundo wa tufe la mfano wa Dunia Misri ipo juu na Tanzania ipo chini ya Misri. Fuatilia mto Nile ambao chanzo chake ni ziwa Victoria na maporomoko yake makubwa yapo Ethiopia na mto Nile hufika mpaka Misri.

Tafsiri nyepesi inayokuja hapa ni chanzo cha mto Nile ni ziwa Victoria na hutirirsha maji mpaka Misri. Swali la kujiuliza Misri ni kaskazini(juu), ziwa Victoria lipo mashariki mwa afrika,kiramani na tufe la mfano wa Dunia ipo chini ya Misri. Sasa inakuaje maji yanatirirka kutoka chini kuelekea juu? Au kusini ndiyo juu na kaskazini ndiyo chini? Binafsi sifahamu anayejua anaweza akatufahamisha katika hili.
Soma kuhusu Hemisphere
Northern Hemisphere
Equator
Southern Hemisphere

Anyway nilipata C Geography O Level.
 
Back
Top Bottom