mabelemapya
Member
- Jan 24, 2019
- 36
- 37
Huo ni mtazamo wako sio wa waoIlitakiwa iitwe Biharamulo National Park. Sehemu kubwa ipo huko
Huo ni mtazamo wako sio wa waoIlitakiwa iitwe Biharamulo National Park. Sehemu kubwa ipo huko
Lingeitwa Burigi -KimisiHivi unaongelea chato kama kijiji au wilaya? Ukitoka bmlo, chato ina mpaka wake Rukilirwengoma hata kabla ya mlima wa Nyankanga na Kataga. Hilo lote ni eneo la hifadhi mpaka katete. Ajabu chato mnaichukua kama kidoti ndani ya ziwa. Kutoka Nyankanga mpaka chato ni zaidi ya Km 40 hilo lote ni eneo la wilaya ya chato.
Zamani pori la burigi lenye mapori matatu kwa muunganiko;
lilipakana na wilaya 4: Biharamulo, Muleba, Ngara na Karagwe, chato ikiwa ndani ya Biharamulo. Kwasasa linapakana na wilaya 5: Biharamulo, Chato, Muleba, Karagwe na Ngara.
- Burigi
- Kimisi
- Biharamulo
Lingeitwa Burigi -Kimisi
Unachotaka nn? Ujinyamazie maana Hakuna lolote utalofanya. Jadili kipato chako na namna utavohudumia familyNani anabisha kuwa haifiki chato ,hivi macho yenu yanaona sawasawaView attachment 1151544
Leta ushahid wa ramani kama wenzioUjui tu kuwa hiyo ni chato ya zamani old chato,
Eneo la chato kwa sasa hufika kasenga ,ichwankima na kimarabupina ipo chato achana na huo upuuzi wa bavicha
Unateseka sana na jina Chato
Sawa kabisaMbuga hii hufika hadi kujiji cha inchwankima na kimarabupina huko ni chato
Bahata mbaya huwa siandiki kuridhisha watu, hivyo siko tayari.Umekuja vizuri sana... Sasa ni kipi kilisababisha jina likawa Chato badala ya Biharamulo au hata Rukilirwengoma au hata Nyankanga au hata Kimisi au hata Kataga au hata Geita..??
Unaweza ukatupa jibu la kuturidhisha..??
Pole sanaHapo ulipoonesha sio chato ni kimwani wilayani muleba
Jee Chato iko nchi gani????????/Nani anabisha kuwa haifiki chato ,hivi macho yenu yanaona sawasawaView attachment 1151544
What is in the name?????Umekuja vizuri sana... Sasa ni kipi kilisababisha jina likawa Chato badala ya Biharamulo au hata Rukilirwengoma au hata Nyankanga au hata Kimisi au hata Kataga au hata Geita..??
Unaweza ukatupa jibu la kuturidhisha..??
What is in the name?????
Bahata mbaya huwa siandiki kuridhisha watu, hivyo siko tayari.
So when you guys call his excellency myriad of uncalled for nick names, does it really change JPM's personality???I know that you also know that the name carries weight!
Always; remember that the devil lay in the details!
Huu mshale hauko Chato ndugu yanguNani anabisha kuwa haifiki chato ,hivi macho yenu yanaona sawasawaView attachment 1151544
Kasenga na katete ni eneo la chato ambalo mbuga imefika. Na ujue Chato imekuwa ni sehemu ya Wilaya ya Biharamulo mkoa wa kagera. Hivyo jina laweza badilika lakini eneo linabaki palepale.
Hivi hii game reserve ilikuwa na wanyama asili au waliopelekwa tu?Nani anabisha kuwa haifiki chato ,hivi macho yenu yanaona sawasawaView attachment 1151544
So when you guys call his excellency myriad of uncalled for nick names, does it really change JPM's personality???