Ramani mpya ya Afrika Mashariki haioneshi Zanzibar, Inabidi kuwe na masahisho

Scale iliyotumika. Inabid wabadilishe scale Ili ionekane. Kulikuwa hkna haja ya kutumia scale kubwa Hivyo.
Kwa hiyo unataka Burundi na Rwanda wasionekane, au una maana gani wewe na hiyo "scale" unayoizungumzia!

Watumie, 'scale' ndogo kwa Kongo ili Zanzibar ionekane. Kwa vipi?
 
hakuna vingi kama
maziwa kama nyasa, natroni, eyasi, kyoga, albert, turkana
mito kama nile, congo, rufiji, ruvuma, tana

aliye sanifu kaifanya sanaa
 
Imebadilishwa🐒

20220410_085250.jpg
 
View attachment 2181612

Upande wa kwanza Zanzibar ni nchi iliyoungana na Tanganyika ikapatikana Tanzania, katika huu muungano Zanzibar inabidi iwe na raisi au makamu wa raisi wa Tanzania, Pia Wazanzibari katika huu muungano wapo Mawaziri, mabalozi, wakuu wa taasisi, wabunge, Idara za ulinzi, waajiriwa, n.k.

Lakini kwa upande mwengine Zanzibar ina serikali yake ambayo haiingiliani na Tanganyika, Kwa mfano kwenye Ajira za serikali ya Zanzibar inabidi muombaji awe mzanzibari, Wana rais wao Mzanzibari, Wana katiba yao, Wana mahakamu wa raisi Mzanzibari, wama bunge lao la wazanzibari, Wana taasisi zao za mpira, umeme, mapato, n.k. Huku Mtanganyika hakumuhusu.

Sasa kama eneo linalooneshwa kwenye ramani ni upande wa Tanganyika pekeyake utasemaje ni ramani ya Tanzania?
Zanzibar itakuwa nchi bhana
 
Hiyo EAC ni jumuiya yenu machogo. Wazanzibari tunataka kujiunga na jumuiya za OIC na Arab League. Uanachama wa Zanzibar wa IOC ulifanyiwa fitna na Nyerere ukashindikana. Zanzibar ikirudisha mamlaka tutajiunga na hizo jumuiya za OIC na Arab League.
 
View attachment 2181612

Upande wa kwanza Zanzibar ni nchi iliyoungana na Tanganyika ikapatikana Tanzania, katika huu muungano Zanzibar inabidi iwe na raisi au makamu wa raisi wa Tanzania, Pia Wazanzibari katika huu muungano wapo Mawaziri, mabalozi, wakuu wa taasisi, wabunge, Idara za ulinzi, waajiriwa, n.k.

Lakini kwa upande mwengine Zanzibar ina serikali yake ambayo haiingiliani na Tanganyika, Kwa mfano kwenye Ajira za serikali ya Zanzibar inabidi muombaji awe mzanzibari, Wana rais wao Mzanzibari, Wana katiba yao, Wana mahakamu wa raisi Mzanzibari, wama bunge lao la wazanzibari, Wana taasisi zao za mpira, umeme, mapato, n.k. Huku Mtanganyika hakumuhusu.

Sasa kama eneo linalooneshwa kwenye ramani ni upande wa Tanganyika pekeyake utasemaje ni ramani ya Tanzania?
Hivyo ni ramani ya mkoloni Tanganyika.
 
View attachment 2181612

Upande wa kwanza Zanzibar ni nchi iliyoungana na Tanganyika ikapatikana Tanzania, katika huu muungano Zanzibar inabidi iwe na raisi au makamu wa raisi wa Tanzania, Pia Wazanzibari katika huu muungano wapo Mawaziri, mabalozi, wakuu wa taasisi, wabunge, Idara za ulinzi, waajiriwa, n.k.

Lakini kwa upande mwengine Zanzibar ina serikali yake ambayo haiingiliani na Tanganyika, Kwa mfano kwenye Ajira za serikali ya Zanzibar inabidi muombaji awe mzanzibari, Wana rais wao Mzanzibari, Wana katiba yao, Wana mahakamu wa raisi Mzanzibari, wama bunge lao la wazanzibari, Wana taasisi zao za mpira, umeme, mapato, n.k. Huku Mtanganyika hakumuhusu.

Sasa kama eneo linalooneshwa kwenye ramani ni upande wa Tanganyika pekeyake utasemaje ni ramani ya Tanzania?
Bila magnifying glass huwezi kukaona ni kadogo mno
 
Back
Top Bottom