KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,189
- 17,157
Kwa hiyo unataka Burundi na Rwanda wasionekane, au una maana gani wewe na hiyo "scale" unayoizungumzia!Scale iliyotumika. Inabid wabadilishe scale Ili ionekane. Kulikuwa hkna haja ya kutumia scale kubwa Hivyo.
Watumie, 'scale' ndogo kwa Kongo ili Zanzibar ionekane. Kwa vipi?