EllySkyWilly
JF-Expert Member
- Aug 28, 2020
- 2,204
- 2,083
Habari za wasaa huu ndugu na marafiki.
Bado naendelea na mradi kuchora Romai ya nyumba bomba ya kuishi.
Ila bado sijamaliza. Kama nilivyo ahidi kwamba nitakua na tabia ya kupost kila napofikia.
Na hapa ndipo nilipofikia. Lakini bado kazi inaendelea. Mpaka pale nitakapo kuwa nimemalza.
Hizi ndio picha ya sehemu niliyofikia.
Bado naendelea na mradi kuchora Romai ya nyumba bomba ya kuishi.
Ila bado sijamaliza. Kama nilivyo ahidi kwamba nitakua na tabia ya kupost kila napofikia.
Na hapa ndipo nilipofikia. Lakini bado kazi inaendelea. Mpaka pale nitakapo kuwa nimemalza.
Hizi ndio picha ya sehemu niliyofikia.