meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,349
- 4,674
Niliwahi kusikia kuwa Ramadhan Madabida alikuwa ni Team lowassa ndani ya CCM ambaye baada ya zoezi la kukatwa kwa lowassa pale DOM alikasirishwa sana lakini akaamua kula ndimu na kumpokea mgombea wa ccm kwa bashasha 'za kinafiki' pale Airport ya Dar.
Bado lowassa aliendelea kuwaaminisha watu kuwa kuna kundi la wanaccm liko nyuma yake na litamfuata chadema...hili halijatokea mpaka leo.
Matokeo ya uchaguzi jijini Dar ni mabaya kwa ccm.
Kampeni za CCM Dar zilikuwa mbovu sana ukiondoa siku ya ufunguzi wa kampeni.
Magufuli alishtukia jambo ndio maana akaenda kufungia kampeni Mwanza.
Magufuli ametoa kauli kali dhidi ya wanafiki walioko ccm ikimaanisha kuwa hili ni jambo lililomkereketa sana.
Nahisihisi kuna jambo nyuma ya pazia juu ya Mwenyekiti huyu wa ccm Dar,lowassa na anguko la ccm Dar.
Bado lowassa aliendelea kuwaaminisha watu kuwa kuna kundi la wanaccm liko nyuma yake na litamfuata chadema...hili halijatokea mpaka leo.
Matokeo ya uchaguzi jijini Dar ni mabaya kwa ccm.
Kampeni za CCM Dar zilikuwa mbovu sana ukiondoa siku ya ufunguzi wa kampeni.
Magufuli alishtukia jambo ndio maana akaenda kufungia kampeni Mwanza.
Magufuli ametoa kauli kali dhidi ya wanafiki walioko ccm ikimaanisha kuwa hili ni jambo lililomkereketa sana.
Nahisihisi kuna jambo nyuma ya pazia juu ya Mwenyekiti huyu wa ccm Dar,lowassa na anguko la ccm Dar.