Hivi huo umaskini anaodai atauondoa ulisababishwa au unalelewa na nani?Msikilize huyu jamaa yetu na jirani yangu anavyohangaika.
Ndio anataka kumshinda Lazaro Nyalandu huyu kweli. Mungu ana maajabu yake makubwamno tumwachie aamue yeye.
Kwa imani yangu ni kwamba huyu Munyampaa siasa ndio anajaribu.
Laana ya Mwenyezi Mungu insmtembelea atakoma na kwa Nyalandu hatoboi na kumng'oa kucha haweziIGHONDO NASIKIA HATA KWAO MRAMA NA ILONGERO HAWAMTAKI SINGIDA WALIMTAKA MUHINDI CCM IKAWAPELEKEA IGHONDO HATOBOI ANAFANYA VIKAO VYA USIKU TU
NA HAPO SINGIDA KASKAZINI NASIKIA ANAVIKUNDI KWENYE KATA MBALI MBALI KAISHAVIUNDA MPUUZI YULE ILI VIWE VINAGONGA WATU NYUNDO
KUNA NDUGU YANGU YUPO HUKO ANANIAMBIA IGHONDO ATABEBWA NA AFISA UCHAGUZI ANOLD MBOGOWE AMBAYE NI KADA WA CCM MPAKA NA MSIMAMIZI WA UCHAGUZI NDUGU RASHID MANDOA YULE ALOKUA KWENYE LIST YA ZITTO KWENYE KESI YA NEC
SASA NYALANDU JIPANGE KOKOTE UNAKONISIKIA WANAKUOGOPA SANA HAPO SINGIDA KASKAZINI ONDOKA NA KATA ZOTE UKAUNDE NA HALMASHAURI
Huyu ni jambazi
Kwi Kwi KwiMsikilize huyu jamaa yetu na jirani yangu anavyohangaika.
Ndio anataka kumshinda Lazaro Nyalandu huyu kweli. Mungu ana maajabu yake makubwamno tumwachie aamue yeye.
Kwa imani yangu ni kwamba huyu Munyampaa siasa ndio anajaribu.
View attachment 1583945
Nahisi asipoletewa maji jimboni atamteka waziri wa maji. Nahisi alimaanisha hivyo maana ndio utaalam wake.Muuaji anataka kuletea maendeleo alio waua hii ni ajabu sana
hivi ccm mpya imeokota wapi huyu mtekaji ?Nahisi asipoletewa maji jimboni atamteka waziri wa maji. Nahisi alimaanisha hivyo maana ndio utaalam wake.
Nahisi ndio maana wale wanaccm wenyewe wameamua kumuunga mkono Lissu kisirisiri ili kumaliza maovu ya CCM mpya.hivi ccm mpya imeokota wapi huyu mtekaji ?
Such a viampierMsikilize huyu jamaa yetu na jirani yangu anavyohangaika.
Ndio anataka kumshinda Lazaro Nyalandu huyu kweli. Mungu ana maajabu yake makubwamno tumwachie aamue yeye.
Kwa imani yangu ni kwamba huyu Munyampaa siasa ndio anajaribu.
View attachment 1583945
A bloody handed crookhivi ccm mpya imeokota wapi huyu mtekaji ?
Hatoboi ana mikono michafu huyo.IGHONDO NASIKIA HATA KWAO MRAMA NA ILONGERO HAWAMTAKI SINGIDA WALIMTAKA MUHINDI CCM IKAWAPELEKEA IGHONDO HATOBOI ANAFANYA VIKAO VYA USIKU TU
NA HAPO SINGIDA KASKAZINI NASIKIA ANAVIKUNDI KWENYE KATA MBALI MBALI KAISHAVIUNDA MPUUZI YULE ILI VIWE VINAGONGA WATU NYUNDO
KUNA NDUGU YANGU YUPO HUKO ANANIAMBIA IGHONDO ATABEBWA NA AFISA UCHAGUZI ANOLD MBOGOWE AMBAYE NI KADA WA CCM MPAKA NA MSIMAMIZI WA UCHAGUZI NDUGU RASHID MANDOA YULE ALOKUA KWENYE LIST YA ZITTO KWENYE KESI YA NEC
SASA NYALANDU JIPANGE KOKOTE UNAKONISIKIA WANAKUOGOPA SANA HAPO SINGIDA KASKAZINI ONDOKA NA KATA ZOTE UKAUNDE NA HALMASHAURI
Anasema umaskini uliowazonga na ccm imetawala hapo miaka 59.Msikilize huyu jamaa yetu na jirani yangu anavyohangaika.
Ndio anataka kumshinda Lazaro Nyalandu huyu kweli. Mungu ana maajabu yake makubwamno tumwachie aamue yeye.
Kwa imani yangu ni kwamba huyu Munyampaa siasa ndio anajaribu.
View attachment 1583945