SISIS
JF-Expert Member
- Jan 14, 2019
- 10,671
- 2,028
Kati ya wanamuziki ambao wana kipaji haswaa na ni mafundi wa kuimba basi Ramadee ni kiboko yani ni sawa na Ed Sheeran wa Marekani vile, lakini kwa sasa alieukamata mziki wa Tanzania ni Diamond platnumz mziki na pesa pia jamaa yupo vizuri
Hawa mafundi akina Rama Dee wanazeeka na ukali wao tu lakini sina uhakika kama mziki unamlipa kama kilivyo kipaji chake maana hata views youtube ni chache tofauti na ukali wake
Daah KIPENDA ROHO
Hawa mafundi akina Rama Dee wanazeeka na ukali wao tu lakini sina uhakika kama mziki unamlipa kama kilivyo kipaji chake maana hata views youtube ni chache tofauti na ukali wake
Daah KIPENDA ROHO