Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 27,542
- 34,871
Manchester United ina wachezaji wazuri mmoja mmoja tatizo lipo kwenye mbinu za kocha tu.klopp amemsifia sana mjerumani huyu
Tusubiri tuone huyu mjerumani atakuja na mbinu gani.
Manchester United ina wachezaji wazuri mmoja mmoja tatizo lipo kwenye mbinu za kocha tu.klopp amemsifia sana mjerumani huyu
kila siku anakesi za bangi, mess ndio Yesu wake