Huyu ni rais mtarajiwa wa nchi iliyo katika Bahari ya Hindi ijulikanayo kama Madagascar.
Naombeni wajuzi wa lugha kama mnaweza kutupa utamkaji sahihi na maana ya jina lake:
RAJAONARIMAMPIANINA Rakotoarimanana Hery Martial
View attachment 129844
Ngoja nianze kufuatilia kwenye 'oral media' maana ndio anaonekana kushinda sasaRAJAO-NARIMA-MPIANINA Rakoto-ari-manana
Ukitaka kusoma na kukumbuka, basi soma hivyo. Wanaunga Majina mengi kwenye jina moja.
Kama hapo mwanzo unaona ni RAJAO na linafuata NARINA na mwisho MPIANINA. Nafikiri nimekusaidia.
Ngoja nianze kufuatilia kwenye 'oral media' maana ndio anaonekana kushinda sasa