Raisi wangu Magufuli kakosea sana ila hakukumbuka naomba upate huu ujumbe

osama BLD

JF-Expert Member
Oct 4, 2016
561
292
Kwanza nianze hivi mimi nina miaka 35 babangu ana miaka 58 katumbuliwa kwa cheti mzee analalamika. Nimemuliza lakin cheti c kweli feki jibu ndio.

Basi nimemuambia anapasa kushukuru kuiba miaka yote hiyo na ameweza kutusomesha, kajenga nyumba 3, anakausafiri kake. Hivyo akae kimia.

Sasa nasifia raisi wangu kwa uamizi huo aliofanya na apate pongexi la kimataifa alipo .

Kosa la mtukufu raisi ni kwamba watu hao wameibia serikali angetoa agizo kila kila mmoja a pigwe faini ya sawa na mshahara wake wa miezi 3 ili watie akili.

Pamoja na hayo mengine yakiwa pale pale ya kutopewa malipo mengine naomba raisi ulingalie hilo....ili tuongezee hela ya kujenga barabara, dawa na ndege..

Yangu ndio hayo
 
Kwanza nianze hivi mimi nina miaka 35 babangu ana miaka 58 katumbuliwa kwa cheti mzee analalamika. Nimemuliza lakin cheti c kweli feki jibu ndio.

Basi nimemuambia anapasa kushukuru kuiba miaka yote hiyo na ameweza kutusomesha, kajenga nyumba 3, anakausafiri kake. Hivyo akae kimia.

Sasa nasifia raisi wangu kwa uamizi huo aliofanya na apate pongexi la kimataifa alipo .

Kosa la mtukufu raisi ni kwamba watu hao wameibia serikali angetoa agizo kila kila mmoja a pigwe faini ya sawa na mshahara wake wa miezi 3 ili watie akili.

Pamoja na hayo mengine yakiwa pale pale ya kutopewa malipo mengine naomba raisi ulingalie hilo....ili tuongezee hela ya kujenga barabara, dawa na ndege..

Yangu ndio hayo
Nonsense
 
Kwanza nianze hivi mimi nina miaka 35 babangu ana miaka 58 katumbuliwa kwa cheti mzee analalamika. Nimemuliza lakin cheti c kweli feki jibu ndio.

Basi nimemuambia anapasa kushukuru kuiba miaka yote hiyo na ameweza kutusomesha, kajenga nyumba 3, anakausafiri kake. Hivyo akae kimia.

Sasa nasifia raisi wangu kwa uamizi huo aliofanya na apate pongexi la kimataifa alipo .

Kosa la mtukufu raisi ni kwamba watu hao wameibia serikali angetoa agizo kila kila mmoja a pigwe faini ya sawa na mshahara wake wa miezi 3 ili watie akili.

Pamoja na hayo mengine yakiwa pale pale ya kutopewa malipo mengine naomba raisi ulingalie hilo....ili tuongezee hela ya kujenga barabara, dawa na ndege..

Yangu ndio hayo
UFE USIKU HUU MCHANA, MSHENZI MKUBWA, SHEITWANI LUCIFER WEWE
 
Kwanza nianze hivi mimi nina miaka 35 babangu ana miaka 58 katumbuliwa kwa cheti mzee analalamika. Nimemuliza lakin cheti c kweli feki jibu ndio.

Basi nimemuambia anapasa kushukuru kuiba miaka yote hiyo na ameweza kutusomesha, kajenga nyumba 3, anakausafiri kake. Hivyo akae kimia.

Sasa nasifia raisi wangu kwa uamizi huo aliofanya na apate pongexi la kimataifa alipo .

Kosa la mtukufu raisi ni kwamba watu hao wameibia serikali angetoa agizo kila kila mmoja a pigwe faini ya sawa na mshahara wake wa miezi 3 ili watie akili.

Pamoja na hayo mengine yakiwa pale pale ya kutopewa malipo mengine naomba raisi ulingalie hilo....ili tuongezee hela ya kujenga barabara, dawa na ndege..

Yangu ndio hayo
Kwanza huna adabu, kamshukuru huyo babayako japo kwa kuiba ili uweze hata kwenda shule, nadhani asingeiba ungekuwaga chokoraa kwa jinsi unavyojionesha.. Pumbafu kabisa..
 
UKOME NA INABIDI BABAKO ARUDISHE PESA ZOTE ALIZOIBIA TAIFA PAMOJA NA WEWE UMETOKANA NA PESA YETU MAANA ASINGEWEZA KUMPATA MAMAKO. KATUMIA PESA YA MSHAHARA WA VYETI FEKI KUPATA KAZI.
 
Kwanza nianze hivi mimi nina miaka 35 babangu ana miaka 58 katumbuliwa kwa cheti mzee analalamika. Nimemuliza lakin cheti c kweli feki jibu ndio.

Basi nimemuambia anapasa kushukuru kuiba miaka yote hiyo na ameweza kutusomesha, kajenga nyumba 3, anakausafiri kake. Hivyo akae kimia.

Sasa nasifia raisi wangu kwa uamizi huo aliofanya na apate pongexi la kimataifa alipo .

Kosa la mtukufu raisi ni kwamba watu hao wameibia serikali angetoa agizo kila kila mmoja a pigwe faini ya sawa na mshahara wake wa miezi 3 ili watie akili.

Pamoja na hayo mengine yakiwa pale pale ya kutopewa malipo mengine naomba raisi ulingalie hilo....ili tuongezee hela ya kujenga barabara, dawa na ndege..

Yangu ndio hayo
Acha ubaguzi mkuu, inamaana kuajiliwa na Serikali mpaka uwe na cheti tu.? Kwa nini kulipa kodi, hata kama ujasoma kabisa serikali inatoza?
 
  • Thanks
Reactions: rr3
UKOME NA INABIDI BABAKO ARUDISHE PESA ZOTE ALIZOIBIA TAIFA PAMOJA NA WEWE UMETOKANA NA PESA YETU MAANA ASINGEWEZA KUMPATA MAMAKO. KATUMIA PESA YA MSHAHARA WA VYETI FEKI KUPATA KAZI.
Ha ha ha ifunya
 
Daaah aiseee jamani huyu jamaa angetokea hadharani asingekuwa salama kwa haya majibu yenu kwake ! Kaka mkubwa kwa vile umepata Elimu kwa pesa hizo za kugushi cheti mshua wako,Basi Onyesha hekima na busara karudishe hicho cheti Baraza ! Naamin magazeti yote kesho yatakuwa na picha zako ukurasa wa mbele!
 
Kwanza nianze hivi mimi nina miaka 35 babangu ana miaka 58 katumbuliwa kwa cheti mzee analalamika. Nimemuliza lakin cheti c kweli feki jibu ndio.

Basi nimemuambia anapasa kushukuru kuiba miaka yote hiyo na ameweza kutusomesha, kajenga nyumba 3, anakausafiri kake. Hivyo akae kimia.

Sasa nasifia raisi wangu kwa uamizi huo aliofanya na apate pongexi la kimataifa alipo .

Kosa la mtukufu raisi ni kwamba watu hao wameibia serikali angetoa agizo kila kila mmoja a pigwe faini ya sawa na mshahara wake wa miezi 3 ili watie akili.

Pamoja na hayo mengine yakiwa pale pale ya kutopewa malipo mengine naomba raisi ulingalie hilo....ili tuongezee hela ya kujenga barabara, dawa na ndege..

Yangu ndio hayo
Ni wazo zuri sana mkuu!! Wewe cha kufanya mwambie baba yako mshirikiane muuze vitu vyote alivyovipata akiwa kazini kisha hiyo pesa muonane na mkururgenzi wa halmashauri/mji. Mliopo mmkabidhi ijengewe hata kituo cha afya au zahanati ipewe jina la baba yako!! Itakuwa ni legacy nzuri sana maishani mwake!! Ila ahakikishe hana kitu alichobakiza na wewe ndio ukafanye kazi ya kujitolea hapo hadi kifo chako!! Fadhira ya watanzania mtakuwa mmetulipa!! Huo utakuwa mfano mzuri sana na wengi watafuatia kuliko huu uhalo unaomwaga.
 
Kana ubongo wa kima haka ka osama! Na hili ulilolileta hapa halitapita bure kwani mwanao wa kumzaa na kumpenda sana atakuumbua na kukudhalilisha siku za uzee wako kama ulivyotabiri. Kumbuka kuwa kinywa huumba!
 
Back
Top Bottom