Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,652
- 13,077
Habari zenu waheshimiwa wote,kuna kitu kidogo kinanitatiza na tumefundishwa ya kwamba asiyejua amuulize anayejua,mimi nilikuwa nataka kujua,
1.Hivi Raisi ni katika suala gani anamuhitaji mshauri wake na je huyu mshauri ana haki ya kupewa ulinzi kama wanavyolindwa mawaziri?
2.Na je Raisi ana idadi ya watu wangapi wanaomzunguka kikazi?
3.Je?mabodyguard wake ni usalama wa Taifa au ni Wanajeshi na ni wangapi.
4.Je?familia yake ina haki ya kutumia dola kisheria(namaanisha inaweza kutoa order kwa matakwa yao na ikatekelezwa)
In short nilikuwa naomba msaada wowote kuhusu Raisi na muongozo wa utendaji kazi wake.
Ahsanteni
1.Hivi Raisi ni katika suala gani anamuhitaji mshauri wake na je huyu mshauri ana haki ya kupewa ulinzi kama wanavyolindwa mawaziri?
2.Na je Raisi ana idadi ya watu wangapi wanaomzunguka kikazi?
3.Je?mabodyguard wake ni usalama wa Taifa au ni Wanajeshi na ni wangapi.
4.Je?familia yake ina haki ya kutumia dola kisheria(namaanisha inaweza kutoa order kwa matakwa yao na ikatekelezwa)
In short nilikuwa naomba msaada wowote kuhusu Raisi na muongozo wa utendaji kazi wake.
Ahsanteni