Rais na Bunge ruhusuni uraia wa nchi mbili haraka kwa wageni kabla Corona haijaisha duniani

YEHODAYA

JF-Expert Member
Aug 9, 2015
36,909
51,904
Kupata permanent residence Marekani unatikwa kununua municipal bonds za dola kadhaa.

Serikali itoe uraia wa nchi mbili kwa yeyote atakayenunua long-term bond za serikali za dola milioni moja wapewe uraia haraka akishalipa tu tuchangamkie fursa.

Tanzania wazungu mamilionea wanakimbia corona kwao wanakuja.

Watanzania maskini diaspora wasubiri dual citizenship ianze na mamilionea kwanza wa nchi zingine wanunua bond za serikali long-term

Serikali ipeleke bungeni under urgency haraka kubadili sheria za uraia kuruhusu manilionea kupata uraia haraka kipindi hili cha corona akilipa tu apewe uraia.
 
Badala ya uraia pacha tuanze na permanent Residence itafaa kuvutia wawekezaji.
 
Nijuavyo Mimi Watanzania hatuna uwezo wa kuona mambo yenye maslahi mapana kwa taifa zaidi ya maslahi binafsi, dhana ya uzalendo maslahi na uzalendo halisi. Naomba niishie hapo.
 
Haya wabunge ,bunge hilo linakaribia kuanza.

Wabunge ni nyie au wenzenu walipitisha Sheria dhalimu ya Bodi ya mkopo(HESLB) ya mwaka 2016.Sheria hii ni ngumu,tena ngumu sana.Mnufaika wa mkopo kwenye Sheria hii ameumizwa,kilio kipo kila mahali.

Naomba mnielewe vema hapa. Wote tunafahamu fika Mchango wa HESLB katika kukomboa watoto wetu kielimu.
Tunatamani kulipa kwa moyo wote natunalipa deni hili kwa moyo wa wadhati.

Wanufaika wanalia na sheria kandamizi ya mwaka 2016.Sina tatizo na ongezeko kutoka asilimia 8 hadi 15 hata kidogo.

Nina masikitiko na kitu kinaitwa Retention fee. Mmmh....hapa wabunge wangu mliteleza,naweza sema hivi.

1: Mtu alipewa deni lake siku ya kumaliza chuo mil.8 , mfano.Baadae deni lile anambiwa tumechelewa kulipa,kwahiyo Kapata penalty ya mil.4, kwahiyo kwenye salary slip deni lake linasomeka 12 mil. Mnufaika anaanza kukatwa deni hili.Inafika siku deni hili kwenye salary slip limekwisha.

Anapowasiliana na Bodi ili apate Loarn clearance certificate,anaambiwa hapana bado unadaiwa mil6. Hili ndiyo deni halisi,deni lako la kwenye salary slip halina Uhusiano na deni lako lilopo Bodi ya Mkopo.

Mmmh...deni halisi?

2: Madeni haya tunalipa kupitia Maafisa utumishi wetu (kwa watumishi).
Swali:

a) Penalty ya mil 4 inafidia vitu gani?
b) Kwanini deni lote na fidia zote zisijumuishwe kwenye salary slip ili mtu akimaliza deni lake ajue limeisha?
C)Kwanini Kuwe na deni la wazi ambalo liko kwenye salary slip na lile la kificho ambalo wao Bodi wanasema wanajua deni halisi?
D) kama ni Bodi ndiyo walituma deni mdaiwa kwa afisa utumishi ili aanze kukatwa,iweje wasitume deni lote?
Maoni yangu:
1: Wabunge wabadilishe Sheria hii
2: Kuwekwe dawati la maoni/ malalamiko kila wilaya au Ofisi za bunge.
3: Bodi ifungue tovuti ya malalamiko/ maoni ili watu watoe maoni yao au malalamiko yao kwa mtandao
4: Kama Sheria hii Labda (sina uhakika) ililenga kuongeza mapato ya serikali,basi siyo mbaya Endapo utawekwa utaratibu wa kukatwa flat rate angalau Laki 5 kwa kila mnufaika wa mkopo hela itakayopatikana ni nyingi,lakini siyo kwa kitu hicho kinachoitwa retention fee na kufanya deni endelevu.

Chonde chonde wabunge liangalieni upya hili.

Asante
 
Cpangiw
Haya wabunge ,bunge hilo linakaribia kuanza.
Wabunge ni nyie au wenzenu walipitisha Sheria dhalimu ya Bodi ya mkopo(HESLB) ya mwaka 2016.Sheria hii ni ngumu,tena ngumu sana.Mnufaika wa mkopo kwenye Sheria hii ameumizwa,kilio kipo kila mahali.
Naomba mnielewe vema hapa.Wote tunafahamu fika Mchango wa HESLB katika kukomboa watoto wetu kielimu.
Tunatamani kulipa kwa moyo wote natunalipa deni hili kwa moyo wa wadhati.
Wanufaika wanalia na sheria kandamizi ya mwaka 2016.Sina tatizo na ongezeko kutoka asilimia 8 hadi 15 hata kidogo.
Nina masikitiko na kitu kinaitwa Retention fee.Mmmh....hapa wabunge wangu mliteleza,naweza sema hivi.
1: Mtu alipewa deni lake siku ya kumaliza chuo mil.8 , mfano.Baadae deni lile anambiwa tumechelewa kulipa,kwahiyo Kapata penalty ya mil.4,kwahiyo kwenye salary slip deni lake linasomeka 12 mil.Mnufaika anaanza kukatwa deni hili.Inafika siku deni hili kwenye salary slip limekwisha.Anapowasiliana na Bodi ili apate Loarn clearance certificate,anaambiwa hapana bado unadaiwa mil6.Hili ndiyo deni halisi,deni lako la kwenye salary slip halina Uhusiano na deni lako lilopo Bodi ya Mkopo.
Mmmh...deni halisi?
2:Madeni haya tunalipa kupitia Maafisa utumishi wetu ( kwa watumishi).
Swali:
a) Penalty ya mil 4 inafidia vitu gani?
b) Kwanini deni lote na fidia zote zisijumuishwe kwenye salary slip ili mtu akimaliza deni lake ajue limeisha?
C)Kwanini Kuwe na deni la wazi ambalo liko kwenye salary slip na lile la kificho ambalo wao Bodi wanasema wanajua deni halisi?
D) kama ni Bodi ndiyo walituma deni mdaiwa kwa afisa utumishi ili aanze kukatwa,iweje wasitume deni lote?
Maoni yangu:
1: Wabunge wabadilishe Sheria hii
2:Kuwekwe dawati la maoni/ malalamiko kila wilaya au Ofisi za bunge.
3:Bodi ifungue tovuti ya malalamiko/ maoni ili watu watoe maoni yao au malalamiko yao kwa mtandao
4: Kama Sheria hii Labda (sina uhakika) ililenga kuongeza mapato ya serikali,basi siyo mbaya Endapo utawekwa utaratibu wa kukatwa flat rate angalau Laki 5 kwa kila mnufaika wa mkopo hela itakayopatikana ni nyingi,lakini siyo kwa kitu hicho kinachoitwa retention fee na kufanya deni endelevu.
Chonde chonde wabunge liangalieni upya hili.
Asante
 
Back
Top Bottom