Mazingira
JF-Expert Member
- May 31, 2009
- 1,833
- 298
Hakika T.B JOSHUA ni NABII WA UKWELI. Tumsubiri Lowassa?
naamini sasa laigwanan atakuwa raisi wa tano wa Tanzania
Wakuu hakuna mahali TB Joshua alimtabiria Lowasa kuwa atakuwa rais. Hayo yalikuwa maneno tu ya Beatrice Shelukindo alopokuwa akimpigia chapuo Lowasa kupata uenyekiti wa kamati ya Bunge ya ulinzi na usalama. Watu walioona ibada amabyo Lowaa alikuwa huko hakutabiriwa hivyo.