Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,530
- 13,467
hivi kwa nini asife huyu wa kwetu jamani tuondokana na hili zigo la misumari????eeeh mungu weee nisikie kilio changu muache mugabe mchukue huyu wa kwetu bana
I also wish the same!
hivi kwa nini asife huyu wa kwetu jamani tuondokana na hili zigo la misumari????eeeh mungu weee nisikie kilio changu muache mugabe mchukue huyu wa kwetu bana
Vipi leo hakuna updates?
yap ni kweli ila mara nyingine mambo huwa hayatabiliki utashangaa mzima ndo anakufa , mgonjwa anaendelea kupeta, hii ishawahi kutokea kwa ndugu zetu mmoja alikuwa hoi anaumwa kisukari tulikuwa tunahesabu masaa tu but tukaletewa taarifa ya msiba ya mtu mwingine ambaye alikuwa mzima hata homa ana na wakisukari mpaka leo anapeta.kila mtu anajua mugabe mgonjwa
na zaidi Mandela pia ni mgonjwa.....
vitu vingine havihitaji utabiri.....
ni masifa tu.....
Leo tarehe 13/02/2012 yametimia rais kabila is no more.
Naloli, acha kututapeli mchana kweupe. Kabila bado anasepa!Leo tarehe 13/02/2012 yametimia rais kabila is no more.
kila mtu anajua mugabe mgonjwa
na zaidi Mandela pia ni mgonjwa.....
vitu vingine havihitaji utabiri.....
ni masifa tu.....
Swali zuri mkulu......
Watabiri wooote ni wachawi...... kwa maana wanashirikiana na Mashetani kueleza mambo ambayo yatatukia baadaye.....
Na ndiyo maana Mungu aliwaambia Wanawaisraeli kuwa asiwepo mtu yeyote anayetabiri kati kati yenu......
Halafu pia kuna kisa cha mtume Paulo kuhusu msichana fulani aliyekuwa akitabiri...... Soma Matendo mlango wa 16 kuanzia aya ya 15 na kuendelela..... utaona jinsi mapepo yanvyo tumika kubashiri mambo yajayo..... kwa hiyo hata huyo mtabiri wao anatumia nguvu za shetani....
Viongozi wengi wa afrika ni wagonjwa, hata Mwanaasha anaweza kutabiri kifo kwa uhakika, haiitaji akili au upako.
Nakubaliana na wewe mkuu. Kwa watu wenye kuugua cancer-terminal technology inaweza kabisa kusaidi kujua muda uliobaki kabala organs zote hazijafeli. Sasa huyu nabii anaweza akawa amepata fail la mtu lakini anajidai kuwa yeye anatabiri. Kama ni kutabiri kwa nini asiseme jina, siku, saa, na hata dakika? Hivi huyu nabii alitabiri nini kuhusu boko haram?
Wewe unastahili ban kwa kuleta uongo wako!!Leo tarehe 13/02/2012 yametimia rais kabila is no more.
jamani i wish kama huyu wa kwetu angekuwa anapitapita humu aone jins wananchi wake wanavomuombea kifo kama ana akili ajiondoe tu kwa amani kabla ya njia zingine au ajafikia hatua ya kufa halaf watu wake wafanye sherehe jamani hurumaaaaaaaaaaaaaaahivi kwa nini asife huyu wa kwetu jamani tuondokana na hili zigo la misumari????eeeh mungu weee nisikie kilio changu muache mugabe mchukue huyu wa kwetu bana